[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachezaji wana uzoefu ila mmekubali kubakwa nyumbani kwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao ni wale mashabiki wachache ambao Ismail Aden Rage wakati fulani, aliwaita mbumbumbu. Mashabiki wa Yanga tunaamini katika falsafa ya mpira ni dakika 90!
Tuna wachezaji wenye uzoefu na haya mashindano! Hivyo lolote linaweza kutokea. Tumeshathibitisha ubora wa kikosi chetu kwenye Ligi ya ndani! Hivyo hata Kimataifa bado tuna nafasi ya kufanya vizuri.
Wanaonuna na wanune. Ila huu ndiyo ukweli wenyewe.
Makasiriko hayawezi kuwapeleka makundi labda makundi ya nzigeNyinyi mbumbumbu ndiyo mnaojitoa ufahamu.
Sasa ndio mnaamini katika dakika 90 lakini walivyokua wanakuja kucheza na nyie mlisema mtawapiga kama ngoma [emoji1][emoji1]Hao ni wale mashabiki wachache ambao Ismail Aden Rage wakati fulani, aliwaita mbumbumbu. Mashabiki wa Yanga tunaamini katika falsafa ya mpira ni dakika 90!
Tuna wachezaji wenye uzoefu na haya mashindano! Hivyo lolote linaweza kutokea. Tumeshathibitisha ubora wa kikosi chetu kwenye Ligi ya ndani! Hivyo hata Kimataifa bado tuna nafasi ya kufanya vizuri.
Wanaonuna na wanune. Ila huu ndiyo ukweli wenyewe.
Naona umebadilisha ID. Bahati nzuri nimekugundua mapema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachezaji wana uzoefu ila mmekubali kubakwa nyumbani kwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kifupi ni rahisi sana kwa Azam kufuzu kwa kushinda goli 4 kuliko Yanga kupata walau sare kwa Al HilalWanaosema timu yetu haiwezi kufuzu, tukifuzu watakuwa upande wetu na wataelezea kitaalam kwa nini tumefuzu.
.
Kwa hiyo tunaheshimu mawazo yao na tunaomba waendelee kuizungumza timu yetu ili tupate mahali pa kuboresha kutoka kwenye maoni wanayotoa.
.
Hatupo hapa kumzuia mwandishi/mchambuzi yeyote kuizungumzia Yanga.
.
Tupo hapa kushirikiana na vyombo vya habari na wachambuzi kuhakikisha Yanga inakuwa brand kubwa Afrika.... Ali Kamwe.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yanga haitoboi... mtabaki hapa hapa kupanda yutong...Wanaosema timu yetu haiwezi kufuzu, tukifuzu watakuwa upande wetu na wataelezea kitaalam kwa nini tumefuzu.
.
Kwa hiyo tunaheshimu mawazo yao na tunaomba waendelee kuizungumza timu yetu ili tupate mahali pa kuboresha kutoka kwenye maoni wanayotoa.
.
Hatupo hapa kumzuia mwandishi/mchambuzi yeyote kuizungumzia Yanga.
.
Tupo hapa kushirikiana na vyombo vya habari na wachambuzi kuhakikisha Yanga inakuwa brand kubwa Afrika.... Ali Kamwe.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app