Wanaoamini Yanga haitafuzu, waacheni waamini watakavyo

Wanaoamini Yanga haitafuzu, waacheni waamini watakavyo

Hao ni wale mashabiki wachache ambao Ismail Aden Rage wakati fulani, aliwaita mbumbumbu. Mashabiki wa Yanga tunaamini katika falsafa ya mpira ni dakika 90!

Tuna wachezaji wenye uzoefu na haya mashindano! Hivyo lolote linaweza kutokea. Tumeshathibitisha ubora wa kikosi chetu kwenye Ligi ya ndani! Hivyo hata Kimataifa bado tuna nafasi ya kufanya vizuri.

Wanaonuna na wanune. Ila huu ndiyo ukweli wenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachezaji wana uzoefu ila mmekubali kubakwa nyumbani kwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga mnatafuta huruma za watanzania [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kupita hatutopita aliesrma Yanga ni kama MWENGE wa uhuru hakukosea kilele ni Leo Kagera.
Mimi ni Yanga pia ila hatutopita🤣
 
Hao ni wale mashabiki wachache ambao Ismail Aden Rage wakati fulani, aliwaita mbumbumbu. Mashabiki wa Yanga tunaamini katika falsafa ya mpira ni dakika 90!

Tuna wachezaji wenye uzoefu na haya mashindano! Hivyo lolote linaweza kutokea. Tumeshathibitisha ubora wa kikosi chetu kwenye Ligi ya ndani! Hivyo hata Kimataifa bado tuna nafasi ya kufanya vizuri.

Wanaonuna na wanune. Ila huu ndiyo ukweli wenyewe.
Sasa ndio mnaamini katika dakika 90 lakini walivyokua wanakuja kucheza na nyie mlisema mtawapiga kama ngoma [emoji1][emoji1]
 
Huyu si alisema akifika Sudani ataanza kukwea Ngamia na kuswamba nao kitaa... imekuaje tena ? [emoji23]
 
Bado wana mambo ya kizamani sana
 

Attachments

  • Screenshot_2022-10-14-16-55-09-297_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2022-10-14-16-55-09-297_com.twitter.android.jpg
    146.9 KB · Views: 3
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachezaji wana uzoefu ila mmekubali kubakwa nyumbani kwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona umebadilisha ID. Bahati nzuri nimekugundua mapema.
 
Wanaosema timu yetu haiwezi kufuzu, tukifuzu watakuwa upande wetu na wataelezea kitaalam kwa nini tumefuzu.
.
Kwa hiyo tunaheshimu mawazo yao na tunaomba waendelee kuizungumza timu yetu ili tupate mahali pa kuboresha kutoka kwenye maoni wanayotoa.
.
Hatupo hapa kumzuia mwandishi/mchambuzi yeyote kuizungumzia Yanga.
.
Tupo hapa kushirikiana na vyombo vya habari na wachambuzi kuhakikisha Yanga inakuwa brand kubwa Afrika.... Ali Kamwe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa kifupi ni rahisi sana kwa Azam kufuzu kwa kushinda goli 4 kuliko Yanga kupata walau sare kwa Al Hilal
 
Kumbukeni shirikisho kuna berkane [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]atawalala nje ndani yule
 
Timu bovu hilo msijipe matumaini uchwara. Hata confederation haitafuzu.
 
Wanaosema timu yetu haiwezi kufuzu, tukifuzu watakuwa upande wetu na wataelezea kitaalam kwa nini tumefuzu.
.
Kwa hiyo tunaheshimu mawazo yao na tunaomba waendelee kuizungumza timu yetu ili tupate mahali pa kuboresha kutoka kwenye maoni wanayotoa.
.
Hatupo hapa kumzuia mwandishi/mchambuzi yeyote kuizungumzia Yanga.
.
Tupo hapa kushirikiana na vyombo vya habari na wachambuzi kuhakikisha Yanga inakuwa brand kubwa Afrika.... Ali Kamwe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yanga haitoboi... mtabaki hapa hapa kupanda yutong...
 
Back
Top Bottom