granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Ata kukaa Muda mwingi kijiweni pia ni kushinda. Sawa labda yanga ashinde kijiweni
Labda al ahly ya somaliaKila team ina mnyonge wake, mnyonge wa Belouzdad ni Yanga, ila wanyonge wa Yanga ni al ahly 😂
al ahly watapigwa 5imbaLabda al ahly ya somalia
Watu wengi hawaelewi shida ya yanga hawana striker sasa wategemee magoli yafungwe kutoka midfield ya akina Aziz ki na Nzengeli ni kazi sana kwenye hizi mechi ngumu. Ukaishia hao wawili kazi umemaliza.
Al ahly ya sudan kusini watapgwa tual ahly watapigwa 5imba
Labda apigwe na chupa na mashabikiUsiogope. Al ahly kesho anapigwa nyingi tu
al ahly cairo watapigwa 5imba guvu moyaaaaaAl ahly ya sudan kusini watapgwa tu
Tulidhani hawa madeama ni underdog, angalia mpira wanaoopiga Belouizdad wanatamani mpira uishe.
Yanga asiposhinda kesho kwa Mkapa basi ndoto yao itakuwa imeishia hapo.
Full Time MADEAMA 2 BELOUIZDAD 1
Kuweka kumbukumbu sawa msimamo unaonyesha.
View attachment 2830713
punguza makasiriko mkuuFatilia timu yako acha kushupalia mambo ya jirani wakati kwako kunanuka, wewe si unacheza kesho au ndio mshajikatia tamaa na kikosi chenu Cha wazee wa pensheni!
na ni kosa kubwa CR kupigwa jana Hivyo bas Lazm al ahly afanye kitu aongoze kundi ili ajiweke kwenye nafas nzuriYanga kuchukua points 3 kwa Al Ahly apewe bure,na kundi ilivyo unadhani Ahly atafanya uzembe?
Sent using Jamii Forums mobile app
maelezo mzuri👏👏👏Chini ya comment unayotaka kuquote bonyeza "Quote" halafu nenda katika uzi unaotaka kuiweka, kwenye box la kureply chini hapo bonyeza "Insert quotes", itakuonyesha quote unayotaka kuweka, bonyeza "Quote messages".
Unaweza pia kuquote message zaidi ya moja kwa pamoja, unachotakiwa kufanya nenda katika kila message unayotaka halafu bonyeza "Quote" halafu malizia nilivyosema hapo juu na itakuonyesha list ya messages zote.
🤣🤣🤣Yanga malengo yao yalikuwa group stage ameshafanikiwa.
Yanga malengo
138B4D4
Ama hakika unastaili kupimwa malinda
Ukisema uchukulie serious kila kinachosemwa humu JF hutaweza hata kupumua[emoji23] “akili za kuambiwa changanya na zako”
Umetuma sh ngapi tukuchangie mkuu?
Kumekuwa na usumbufu kwa wateja wao kwenye ku withdraw pesa..mimi mwenyewe ni muhanga wa ilo tatizo ila ki deposit ni faster ..wamepunguza bonus na kutoa option ya double chance yani ni mwendo wa direct win tu au draw..ni wiki ya pili sasa inaenda..ukiwapigia wanasema wanarekebisha ni tatizo la kiufundi kwa tetesi zinazosikika ni kuwa wamepigwa Mpunga mrefu siyo mchezo..View attachment 2799875View attachment 2799880View attachment 2799878View attachment 2799881View attachment 2799879
Mkuu naona kuna deposit kwa njia ya simu pamoja na prepaid card ya halotel vipi zinakubali hata ku-withdraw?
Hakuna kitu km hicho. Yanga kumfunga Al Ahly ni mbingu na ardhi. Hutaweza kukubali nachosema maana watu wanatembelea matokeo ya Simba vs Yanga ya 1-5 na wakati huo huo Simba akidrow na Al Ahly. Yanga wakiendelea kutembelea matokeo hayo ya 5 wamekwisha. Watapgwa nje ndani na Al Ahly.Hili kundi kila timu itashinda nyumbani. Atakayekuwa na magoli mengi ndio atafuzu