5 zipi unazungumzia,kihistoria tuliwapiga 5-0 ,na tukawapiga 6-0 safi kabisa, mpaka leo deni halijarudi hata hiyo 5 mliyotufunga ilikuwa 5-1 ,hizi akili za supu ni shidaWewe tangu upigwe [emoji2772] akili zilikuruka unaongea ujinga tu
Kila timu ina mfumo wake usichanganye mambo... Ngoja tusubirie baadae tutaongea lugha moja.Sina haja ya kurudi ume andika hisia sio uhalisia Mamelodi sundowns mpka wamefika final hawakua na mshambuliaji natural game ya mwisho ndio Peter Shalulile alicheza zingine zote walitumia force number 9 , Medeama jana magoli yete mawili yanefungwa na viungo, game ya Pyramid na Mazembe hakukua na goli la mshambuliaji ikija Yanga mna anza upuuzi
Usibishane nae huyo kaka hayupo timamu kichwaniWewe tangu upigwe [emoji2772] akili zilikuruka unaongea ujinga tu
Hakuna kitu km hicho, huyu A ataongoza kundi mapema tu. Hivi nyie mnamchukulia poa sababu ka drow na Simba mnayodhani ni mbovu , subiri leo muone.Mkuu hili Kundi D, hata Al Ahaly asipofanya juhudi anaweza asitoboe robo fainali. Kundi gumu ni balaa.
Mambo bado.Hili kundi kila timu itashinda nyumbani. Atakayekuwa na magoli mengi ndio atafuzu
Bado hamjasema.Niliyasema haya, jamaa wako vizuri sana. Waarabu sijui kwa nini wana mentality wakiwa nje wanacheza mpira ronyoronyo sana. Hawa wakienda kurudiana Algeria watapelekewa moto hautadhani ndiyo CRB waliocheza leo.
Ila nilitaka CRB washinde leo ili safari ya kumzika uto iwe fupi zaidi
Haya matokeo ni mazuri sana kwa Yanga na leo yatawapa nguvu ya kupambana zaidi.CRB angeshinda jana yanga tungekuwa na wakati mgumu sana.
Kifupi yanga tumeshafuzu
Medeama ni timu yenye makosa mengi kuliko usahihi kwenye vitendo vya Wachezaji. Kwa mpira wa Jana bado najiuliza Belouizdad waliifungaje Yanga.Tulidhani hawa madeama ni underdog, angalia mpira wanaoopiga Belouizdad wanatamani mpira uishe.
Yanga asiposhinda kesho kwa Mkapa basi ndoto yao itakuwa imeishia hapo.
Full Time MADEAMA 2 BELOUIZDAD 1
Kuweka kumbukumbu sawa msimamo unaonyesha.
View attachment 2830713
Kweli kabisa Mkuu.Yanga walichomeshwa na Kipa wao mzembe.....Belouzdad si chochote
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Wachache Sana wanaliona Hilo, mwenyewe najiuliza mpaka sasa HVMedeama ni timu yenye makosa mengi kuliko usahihi kwenye vitendo vya Wachezaji. Kwa mpira wa Jana bado najiuliza Belouizdad waliifungaje Yanga.
Ngoja nikiipata ntaituma hapa.First half sijaangalia
Kumbe kulikuwa na sintofahamu kama hiyo Duuuh
Hongera kwa ushindi wa leoHili kundi kila timu itashinda nyumbani. Atakayekuwa na magoli mengi ndio atafuzu
Hata hivyo Kimahesabu bado tupo.Hongera kwa ushindi wa leo
Mwamnyeto huyu huyu aliyekuwa anachomesha leo?Nilipoona Mwamnyeto Yuko bench nikajua tumekwisha. Halafu tulifunguka kiboya Sana.
Mechi ngumu ya Yanga iliyobakia ni game na Al Ahly Cairo. Mechi ya leo Yanga kaicheza kwa adabu kubwa tofauti na ile ya awali ambayo alifunguka tu bila kulinda ipasavyo.Watu wengi hawaelewi shida ya yanga hawana striker sasa wategemee magoli yafungwe kutoka midfield ya akina Aziz ki na Nzengeli ni kazi sana kwenye hizi mechi ngumu. Ukaishia hao wawili kazi umemaliza.
Yanga watam Miss sana mayele ndo alikua Messi wa yanga game nyingi hizi ngumu alikua anaziamua yeye mwenyewe.
Game ya leo yanga hata akifungwa goli moja atakupa amejitahidi sana. Yanga haendi popote labda dunia ipasuke.
Mpira siyo logic au hesabu. Kuna factors nyingi sana xiazoamua mchezo. Timu A ikiifunga timu B na timu B ikamfunga timu C siyo lazima timu A ikaifunga timu C. Kinacho kusukuma kuandika hata ni ushabiki tu.Tulidhani hawa madeama ni underdog, angalia mpira wanaoopiga Belouizdad wanatamani mpira uishe.
Yanga asiposhinda kesho kwa Mkapa basi ndoto yao itakuwa imeishia hapo.
Full Time MADEAMA 2 BELOUIZDAD 1
Kuweka kumbukumbu sawa msimamo unaonyesha.
View attachment 2830713
AaaahaaaMnacheza na kutia ugumu mechi za Yanga unasahau timu yako.