permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Gamondi alikosa heshima kwenye approach ya ile game.Ni wa kawaida sana sema kila mtu anatakiwa ashinde mechi zake za Nyumbani. Hawa wa algeria sio wazuri sana sema walitumia approach ya yanga ya ile game kuwaadhibu.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app