Duuuh ππ.. Ila wazazi Wana huruma Sana aiseeWakati wewe mtoto unajiuliza na kumuonea huruma na yeye kama mzazi hataki kukuona unateseka kutembea ukiombaomba.Anaamua aende yeye mwenyewe. Upendo,huruma na kujali.
Somo katika maisha.Duuuh ππ.. Ila wazazi Wana huruma Sana aisee
Pole sana mkuu, usiogope sana ndio maisha hayoYaani Hadi naogopa π°π°.. sometimes hua najiuliza hivi Hawa hawana watoto maana sidhani kama Kuna mtu anapenda kumwona mzazi wake akiwa ombaomba
Wazazi ndio wana huruma kwa watotoDuuuh ππ.. Ila wazazi Wana huruma Sana aisee
Kwakweli nimejifunza kitu, sitokaa nishangae tenaSomo katika maisha.
KwakweliPole sana mkuu, usiogope sana ndio maisha hayo
Sifa na utukufu ni kwake Mungu.Kwakweli nimejifunza kitu, sitokaa nishangae tena
For realSifa na utukufu ni kwake Mungu.
Wanabeba ID zaoKatikati mwa miji nakutana na wabibi wengine wanakuwa ombaomba wamefunga mizigo mgongoni ni kama vipande vya nguo kwenye kanga unakuta anatembea nao huo mzigo mchana kutwa, ile inakuwa ni kitu gani? Mbona kama ni mambo ya kishirikina wanakuwa nayo?
Mimi naogopa sana kumsaidia bibi wa namna hiyo na kuna wale wengine watoto wenye ulemavu wa akili unawakuta stand au sokoni wanaomba mpaka unajiuliza huyu anatumiaje hela, ananunua kitu gani?
Maana kwa hali aliyonayo hata msaada wa chakula atapewa bure na mama ntilie wale itakuwa wanatumwa na watu wakubwa, wamegeuzwa kama misukule.
Nimecheka kweli kweli. Nadhani hakuna haja ya kuogopa kwa sababu hawezi kukufanya chochote. Japokuwa inawezekana kabisa alikuwa na nia ovu au alitumwa na mganga kufanya hivyo, lakini kwangu mimi huwa naona watu wa aina hiyo wanapoteza muda tu. Mbaya ni ikiwa utalishwa kitu kwani inaweza kuwa sumu au uchafu mbaya sana. Babu yangu ambaye ni marehemu sasa, kijijini huko, kuna siku alikuwa anatembea njiani, wakati nikiwa mdogo kama miaka 17 hivi, nikaona jirani yetu, mwanamke akamlia timing, na kwenda kuzoa mchanga wa sehemu aliyokanyaga, yaani unyayo ulipokanyaga. Nikaja kumwambia, akacheka kweli kweli na kusema achana naye huyo, mwache azoe mpaka ajaze lori.Kuna mbibi alivaa ushungi wiki jana aliniomba maji niliyokuwa nakunywa kwenye chupa nikashangaa ila ikabidi nimpe, akauliza ninywe kidogo au nichukue yote nikasema chukua.
Nikasogea mbele nikashtuka, logic ya mtu kuniomba maji niliyokuwa nakunywa. Na mauzo siku mbili zilizofuata yalikuwa mabaya sana nikaona coincidence tu.
Ningefikiria vizuri ningempa hela akanunue mwenyewe
Asante mkuuPole sana mkuu
Duh!...maji na pesa ni coincidence tu......Kuna mbibi alivaa ushungi wiki jana aliniomba maji niliyokuwa nakunywa kwenye chupa nikashangaa ila ikabidi nimpe, akauliza ninywe kidogo au nichukue yote nikasema chukua.
Nikasogea mbele nikashtuka, logic ya mtu kuniomba maji niliyokuwa nakunywa. Na mauzo siku mbili zilizofuata yalikuwa mabaya sana nikaona coincidence tu.
Ningefikiria vizuri ningempa hela akanunue mwenyewe