Na TP mazembe nao Wana MugaluWewe timu Ina Mugalu na Kibu alafu unataka Magoli mengi uyatoe wapi!! Bila penalty ya mchongo na kuzima VAR ata ilo Moja halikuwepo.
Wabishi Tu hawa Makolo, inatakiwa waje kujifundisha kwenu Yanga namna ya kucheza game za away na pia muwaazime lile likocha lenu hatari aka professor Nabi, ambalo lilifukuzwa kazi baada ya kutolewa kwenye mashindano ya mwanaume club bingwaKwaiyo unataka kusemaje, ukubali ukatae ndo mwisho wenu, cha kwanza mechi za ugenini amziwezi, cha pili amna kocha pale kuna kivuli tu, cha tatu forward yenu ni butu ukiachilia mbali beki za wakina wawa na babu onyango, kwa timu ya aina iyo unajitapa kwa ushindi wa kigoli cha penalti nyumbani kwako?
Mayele hakucheza.Wabishi Tu hawa Makolo, inatakiwa waje kujifundisha kwenu Yanga namna ya kucheza game za away na pia muwaazime lile likocha lenu hatari aka professor Nabi, ambalo lilifukuzwa kazi baada ya kutolewa kwenye mashindano ya mwanaume club bingwa
na mwisho kabisa muwaazime mabeki wenu vijana ambao waliweza kuwazuia rivers wasipate goal nyumbani na ugenini, na kama itawezekena basi muwape na super striker Mayele aka Benzema ambae aliwapiga goal za kutosha rivers utd home and away.
Rivers walishawakaa mdomoni kufanyia rejea akuna kingine, mnapotekenywa mnakimbilia mechi ya rivers, unaposemea timu yenye beki bora tanzania ni yanga,,unaposemea timu yenye safu kali ya ushambuliaji ni yanga nafikiri kila kitu ni takwimu, usilinganishe vitu apo maji na mafuta vinajitenga, mikia mmefunga goli ngapi na mmefungwa goli ngapi? Takwimu zinawatupa mbali na zinaonyesha mlivyo na timu ya roho mkononi,,,uyo Nabi unaemng'ong'a mnatamani kuwa nae, Mzee wenu wa madrid amfikii ata robo kimbinu na kiufundi kutengeneza timu na ndio maana anaongoza kwa kila kitu kitakwimu,,amekuacha alama 10,,amefungwa magoli machache 5,,amefunga magoli 33, ayo yote ayakuja kwa bahati mbaya bali kwa uwezo wa benchi imara la ufundi na usajili bora ivyo vijembe aviwezi kuondoa uhalisiaWabishi Tu hawa Makolo, inatakiwa waje kujifundisha kwenu Yanga namna ya kucheza game za away na pia muwaazime lile likocha lenu hatari aka professor Nabi, ambalo lilifukuzwa kazi baada ya kutolewa kwenye mashindano ya mwanaume club bingwa
na mwisho kabisa muwaazime mabeki wenu vijana ambao waliweza kuwazuia rivers wasipate goal nyumbani na ugenini, na kama itawezekena basi muwape na super striker Mayele aka Benzema ambae aliwapiga goal za kutosha rivers utd home and away.
"Another one"Wewe timu Ina Mugalu na Kibu alafu unataka Magoli mengi uyatoe wapi!! Bila penalty ya mchongo na kuzima VAR ata ilo Moja halikuwepo.
Sasa mkuu mbona unapovuka Sana, Mie si nimetoa ushauri kwa Makolo mbona kama hueleweki unasimamia nini?Rivers walishawakaa mdomoni kufanyia rejea akuna kingine, mnapotekenywa mnakimbilia mechi ya rivers, unaposemea timu yenye beki bora tanzania ni yanga,,unaposemea timu yenye safu kali ya ushambuliaji ni yanga nafikiri kila kitu ni takwimu, usilinganishe vitu apo maji na mafuta vinajitenga, mikia mmefunga goli ngapi na mmefungwa goli ngapi? Takwimu zinawatupa mbali na zinaonyesha mlivyo na timu ya roho mkononi,,,uyo Nabi unaemng'ong'a mnatamani kuwa nae, Mzee wenu wa madrid amfikii ata robo kimbinu na kiufundi kutengeneza timu na ndio maana anaongoza kwa kila kitu kitakwimu,,amekuacha alama 10,,amefungwa magoli machache 5,,amefunga magoli 33, ayo yote ayakuja kwa bahati mbaya bali kwa uwezo wa benchi imara la ufundi na usajili bora ivyo vijembe aviwezi kuondoa uhalisia
Hivi wewe unadhani ni kufunga tu kama vile jogoo wa kienyeji anapanda kuku jike. Wao hawachezi na hawana mikakati ya kushinda wakuachie wewe tu uwapige idadi unayotaka.Subiri match ya marudiano ndio utajua umuhimu wa kufunga magoli mengi ukiwa kwako.
Shukrani Kwa kunikumbusha mkuuMayele hakucheza.
Unadhani ni rahisi tu kama NetballSubiri match ya marudiano ndio utajua umuhimu wa kufunga magoli mengi ukiwa kwako.
Wewe ni mshabiki wa simba?Tatizo sio kushinda kigoli kimoja cha penalti, tatizo linalowafanya mashabiki wa simba kupoteza nuru ya furaha juu ya huo ushindi finyu ni game aproach ya simba wenyewe kwenye mechi za ugenini imekuwa ni kama pombe ya ngomani inagongeshwa goli za kutosha, bahati mbaya Sana wameanzia nyumbani na ushindi mwenyewe ndo Kama ivyo, Kama uko nyumbani na forward zako zimeshindwa kufurukuta angalau kuonyesha uhai ata kidogo unategemea nini ugenini??? Msimu uliopita kaizer chiefs alishinda nyumbani kwake goli 4 bila lakini akaja kwa mkapa akafungwa goli 3 bila vipi Kama angeshinda kwake 1 bila si angeondoshwa, Mantiki ya kushinda kwako goli za kutosha ni iyo kwa maana na mpinzani wako na yeye anakwenda kujipanga kwa siraha zote nyumbani kwake Kama ulivyojipanga wewe, ukweli ni kwamba simba mechi za mtoano bado aijajua namna ya kuzicheza na ushindi wa kigoli kimoja kwenye hatua Kama hii mbaya Sana kwa maana kocha anabaki njia panda ajui kule ataenda kustick na mfumo gani wa kulinda ilo goli moja au akafunguke, sasa katika ayo yote bado kiama awezi kukiepuka kwa maana akilinda atapigwa msako wa hatari na ndani ya dk chache anaweza asiamini macho yake kwa aina ya timu aliyonayo na uwezo wake mdogo kimbinu, pia akitaka ashambulie wapishane bado na penyewe atakula za uso kwa aina ya uchezaji wa orlando ambao nyumbani kwao watakuwa kama nyuki waliochokozwa kwenye mzinga wao
Unataka tutolee mfano kwa timu ipi wakati mlicheza na Rivers tu? Au tuwape mfano wa wasomalia wahanga wa vita mliotoa nao droo kwa Mkapa? Mtu hutolewa mifano kwa alichokifanya wala siyo vinginevyo.Rivers walishawakaa mdomoni kufanyia rejea akuna kingine, mnapotekenywa mnakimbilia mechi ya rivers, unaposemea timu yenye beki bora tanzania ni yanga,,unaposemea timu yenye safu kali ya ushambuliaji ni yanga nafikiri kila kitu ni takwimu, usilinganishe vitu apo maji na mafuta vinajitenga, mikia mmefunga goli ngapi na mmefungwa goli ngapi? Takwimu zinawatupa mbali na zinaonyesha mlivyo na timu ya roho mkononi,,,uyo Nabi unaemng'ong'a mnatamani kuwa nae, Mzee wenu wa madrid amfikii ata robo kimbinu na kiufundi kutengeneza timu na ndio maana anaongoza kwa kila kitu kitakwimu,,amekuacha alama 10,,amefungwa magoli machache 5,,amefunga magoli 33, ayo yote ayakuja kwa bahati mbaya bali kwa uwezo wa benchi imara la ufundi na usajili bora ivyo vijembe aviwezi kuondoa uhalisia
Kwa wasomali alifunga mangapi? Kwa Zanaco siku yenu ya mwananchi alifunga mangapi? Au hizo mechi zote hakucheza? Kwa taarifa yako , mayele anafunga kwenye mechi ambazo mazingira yameshaandaliwa na giesiem ili ateteme kuwafurahisha misukule wa utopoloni. Mechi ambazo hazijaandaliwa mazingira , mayele huwa anageuka kuwa kibuda.Mayele hakucheza.
Kwanza mlisema simba atafungwa,Kwaiyo unataka kusemaje, ukubali ukatae ndo mwisho wenu, cha kwanza mechi za ugenini amziwezi, cha pili amna kocha pale kuna kivuli tu, cha tatu forward yenu ni butu ukiachilia mbali beki za wakina wawa na babu onyango, kwa timu ya aina iyo unajitapa kwa ushindi wa kigoli cha penalti nyumbani kwako?
Kaelewa vzr sana ila na yeye kaweka kile anachoamini.....Kajitahidi kusoma ila kashindwa kuelewa.
Haya ndio majibu sasaWabishi Tu hawa Makolo, inatakiwa waje kujifundisha kwenu Yanga namna ya kucheza game za away na pia muwaazime lile likocha lenu hatari aka professor Nabi, ambalo lilifukuzwa kazi baada ya kutolewa kwenye mashindano ya mwanaume club bingwa
na mwisho kabisa muwaazime mabeki wenu vijana ambao waliweza kuwazuia rivers wasipate goal nyumbani na ugenini, na kama itawezekena basi muwape na super striker Mayele aka Benzema ambae aliwapiga goal za kutosha rivers utd home and away.
Takwimu gani?Rivers walishawakaa mdomoni kufanyia rejea akuna kingine, mnapotekenywa mnakimbilia mechi ya rivers, unaposemea timu yenye beki bora tanzania ni yanga,,unaposemea timu yenye safu kali ya ushambuliaji ni yanga nafikiri kila kitu ni takwimu, usilinganishe vitu apo maji na mafuta vinajitenga, mikia mmefunga goli ngapi na mmefungwa goli ngapi? Takwimu zinawatupa mbali na zinaonyesha mlivyo na timu ya roho mkononi,,,uyo Nabi unaemng'ong'a mnatamani kuwa nae, Mzee wenu wa madrid amfikii ata robo kimbinu na kiufundi kutengeneza timu na ndio maana anaongoza kwa kila kitu kitakwimu,,amekuacha alama 10,,amefungwa magoli machache 5,,amefunga magoli 33, ayo yote ayakuja kwa bahati mbaya bali kwa uwezo wa benchi imara la ufundi na usajili bora ivyo vijembe aviwezi kuondoa uhalisia
Magoli mengi wala sio issue,Rivers utd walikuja hapa bongo wakawakanyaga Utopolo goli moja na kwao pia wakawakanyaga tena goli moja,kesi ikaisha.Subiri match ya marudiano ndio utajua umuhimu wa kufunga magoli mengi ukiwa kwako.
Very simpleMagoli mengi wala sio issue,Rivers utd walikuja hapa bongo wakawakanyaga Utopolo goli moja na kwao pia wakawakanyaga tena goli moja,kesi ikaisha.
Kwani hao unaowaita mafunzo na mlandege ulivyokutana nao uliwafunga goli ngapi? Kipimo cha kwanza kukuonyesha timu yako ikoje ni izo timu unazozidharau wewe kwa maana uwezi kupata tiket ya kushiriki ligi ya mabingwa au kombe la shirikisho bila kufanya vizuri kwenye ligi ya ndani, Sasa Kama umeshindwa ushindani wa ligi ya ndani uko nje ndo utaweza? Mpira sio miujiza, mpira ni uwekezaji na kuwa na wachezaji bora, Kama unamtegemea mshambuliaji aina ya mugalu, au kibu denis ndo wakupe matokeo kwenye mechi kubwa unaanza kwanza kuwatathmini kuanzia ligi ya ndani wanazo goli ngapi mpaka sasa? Kama ligi ya ndani tu unayoidharau wewe wameshindwa kufunga vipi mashindano makubwa wanaweza?Takwimu gani?
Yaani ufananishe watu wanaokutana na timu bingwa afrika na hawa wanaocheza na mafunzo na mlandege?hebu kuweni siriasi basi nyie utopolo dah
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app