Kwaiyo unataka kusemaje, ukubali ukatae ndo mwisho wenu, cha kwanza mechi za ugenini amziwezi, cha pili amna kocha pale kuna kivuli tu, cha tatu forward yenu ni butu ukiachilia mbali beki za wakina wawa na babu onyango, kwa timu ya aina iyo unajitapa kwa ushindi wa kigoli cha penalti nyumbani kwako?
Kwanza mlisema simba atafungwa,
Sasa hivi mnasema kimoja hakitoshi hii nchi hii [emoji119]
Anashindiliwa pirates ,kichefuchefu anapata utopolo....
Maajabu hayaishi
Kapoooombeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....
Show me the waaaaaaaayyyyyy
Anawainua wanasimba uwanjaniiiiiiiiiii
Anawainua mashabiki elfu sitini hapa lupaso
Nani kasema simba haendi nusuuuuuuuu?
Uwanja unazizimaaaaaaaaaaaaa.......
Utaratibu ni ule uleeeeeeeeeee....
Utaratibu ni ule uleeeeeeeeeeeeeee......
Heshma ya Taifa la Tanzania ipo mabegani kwa wana Lunyasi........
Ukinuna uwe na sababuuuuuuuuuu
Simba inaibeba Nchi na wananchi wakeeeeeeee
Aghaaaaa aghaaaaa aghaaaaaaa
Hii ndio siri ya amaniiiiiiii na furahaaaaaaa
Simba sports clubbbbbbbbb
Simba sports clubbbbbbbbbbbb.............
Nani anatesekaaaaaaaaaaaaaaaa.......
This isssssssssssss SIMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA........
Pole wewe unayepata sononeko la moyo
Njoo simba raha zipo hukuuuuuuuuuu
Mtangazaji wa jana aliua sana
Sent from my PBBM00 using
JamiiForums mobile app