Wanaochukia mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 wana ajenda gani nyuma ya pazia?

Kaka wengine ni wabantu kabisa kama sisi!!
Kwa ubaguzi wa wazi unaooneshwa na wazanzibar dhidi ya watanganyika, sitaona ajabu watu kuyaponda hayo mapinduzi.

Ni muhimu kujua mapinduzi sio kuondoa rangi fulani ya watu na kuweka rangi nyingine bali ni mapinduzi ya kifkra...jambo ambalo kwa wazanzibar wa sasa bado sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…