Wanaochukia mapinduzi matukufu ya Zanzibar 1964 wana ajenda gani nyuma ya pazia?

Ndugu zanguni,
Nelson tunamsubiri aingie darasani.
Wanafunzi tunamsubiri.

Mimi bado sijabanduka hapa toka Maghrib.

Bado nasubiri.
Darasa sio hapa kuna sehemu inaandaliwa na ninaalika pia wanazuoni wa kidini na wazee wa ASP na TANU na ACT Wazalendo na CUF!!!!Usiwe na haraka nimekwambia uwe radhi kufundishika usijali!!
 
Sasa nakuuliza mimi wa mwanzo

Hivi sasa hakuna ubaguzi na haki ipo Zanzibar ?? na Tangnyika ??
Kwakuwa umeyataka

Swali lako liko vague ila nipo tayari kulijibu lakini kwanza Fafanua ili lieleweke na tuwe na kitu specific

Una maanisha nini kusema ubaguzi?

Na ni ubaguzi wa nani dhidi ya nani?

Ubaguzi ktk siasa? Kilimo? Biashara? Jamii? Elimu? Mfumo wa haki? Mfumo
Wa uzalishaji mali?
 
Darasa sio hapa kuna sehemu inaandaliwa na ninaalika pia wanazuoni wa kidini na wazee wa ASP na TANU na ACT Wazalendo na CUF!!!!Usiwe na haraka nimekwambia uwe radhi kufundishika usijali!!
Bwana Yesu alisema wengine huzaliwa si rizki .. Math 19:10-12
 
Nelson...
Huna haja ya kuhangaika nisomeshe hapa mtandaoni darsa linufaishe wanafunzi wengi.

Hizi ndiyo njia za kisasà.

Unaweza kutumia zoom au clubhouse.

Ukiona hayo mazito kwako somesha hapa hapa JF.
Darasa langu ni la uso kwa uso!!!Sio wanafunzi wangu wote wana access za social network,s mzee wangu!!!!Kuna sehemu naandaa
 

kama ulivyouuliza wewe kwa sultani huo ubaguzi haupo na hizo haki zipo hivi sasa Zanzibar na Tanganyika ??
 
kama ulivyouuliza wewe kwa sultani huo ubaguzi haupo na hizo haki zipo hivi sasa Zanzibar na Tanganyika ??
Mkuu nimekuomba ufafanue swali lako ili nikupe jibu specific pia inakuwa kazi kwako


Nimekuwekea na options ili usipate tabu wewe uchague tu pia huwezi

Ndio maana nina mashaka na elimu yako

Nakupa nafasi nyingine twende kisomi

Fafanua swali ili tuwe na kitu specific mkuu nikujibu ipasavyo
 
Sijapotea nimeshakupa utaratibu wa darasa litakua wapi!!!!Ngoja nikamilishe utaratibu!!!!Toka mwanzo nilikusihi uwe na subra na uwe radhi kufundishika
 

kwani ulipoweka hizo shutuma zako ulifafanua ??

Mbona unamlaumu sheikh Mohammed na wewe unafanya hayohayo , au ndio nyani haoni makalio yake
 
Huyu jamaa niliacha kumjibu baada ya kugundua elimu yake ndogo sana katika siasa na historia!!!
 
Yani hata kuToa hata maana ya Ubaguzi huwezi?

Kama huwezi hivi utakuwa unajua unachokiongelea kweli?

Una elimu gani ?

mimi siwezi mbona wewe ulishindwa kufafanua ??, unazunguka zunguka tu ??
 
kwani ulipoweka hizo shutuma zako ulifafanua ??

Mbona unamlaumu sheikh Mohammed na wewe unafanya hayohayo , au ndio nyani haoni makalio yake
Ndiyo niliuliza mambo specific kuhusu umiliki ardhi, umiliki wa nyenzo za uzalishaji mali, umiliki wa watumwa n.k

Hivi unafuatilia
Mjadala wewe?
 
kwani ulipoweka hizo shutuma zako ulifafanua ??

Mbona unamlaumu sheikh Mohammed na wewe unafanya hayohayo , au ndio nyani haoni makalio yake
Rejea post no #279
Nimeeleza swali langu specifically wewe unashindwa nini?

Sawa tuseme elimu yako ndogo hai support mjadala mzito namna hii lakini hata kusoma na kuelewa komenti huwezi?

Kama huwezi hilo pia ni Mungu pekee anajua unafanya nini hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…