kwanini unasema hivyo? Mbona yeye mhusika kanijubuSwali gani uchwara hili mlamu!
Duuh! Ila kweli wanaweza na hawatafanywa kitu. Kwanza washafanya mengi maovu kwa upinzani na hawakuguswa.Keep my word
The obvious! ngoja niwatag CDMKeep my word
Mwanahabari Huru Salary Slip mmeliona hili andiko? The obvious ni kuwa kuna watu wataenguliwa hasa CDM na ACT... tunafanyaje?Anayeandika hapa ni YEYE BRITANICCA
Wavivu wa Fikra wanadhani Imekuwa Ngumu ACT na Chadema Kuungana kisa uchu wa madaraka nani agombee, sasa nawafungua Bongo zenu
Hakuna ugumu kuna mbinu NEC lazima tuwapime wanajifanya wajanja wakiengua mgombea mmojawapo kwa ukatili, wananchi wanahamia upande mwengine wakiwaacha wote tunakubali mmoja nyoyo zimevurugwa ccm wanatapatapa hawana nguvu ya kusimama mbele ya umma na kuwadanganya.
Lazima kuwa na ubunifu ili ikitokea aina yeyote ya mizengwe Upinzani usikose mwakilishi imara,
Britannica
kwanini unasema hivyo? Mbona yeye mhusika kanijubu
Ukishapitishwa na NEC jina linakua kwenye ballot papers.Mmoja atajitoa hatua za mwisho
Mmoja hatarudisha fomu.Huenda uko sahihi, je ikitokea wote wameidhinishwa na Nec kugombea Urais je mtahamia kwa nani? na kwanini?
Nlimuuliza swali ambalo linampa tahadhali sana, kwa nia njema sana maana jina na avatar ni sawa JF na Twitter!Ni sawa kwa vile kaamua kukujibu, ni kwa ujasiri wake na amesema anajiamini. Ila mi niliona ni swali lenye kutaka ku-reveal utambulisho, wengine wanaweza kuanzia hapo kuunga nukta hivyo sikuona ni busara.
Amani mlamu!
Hata mm nawaza ya kwamba mmojawapo hatarejesha fomu za kugombea urais tume. Hiyo ndiyo janja ya chadema na ACT.Mmoja atajitoa hatua za mwisho
Hahahaha hawakufahamu! Wanajua na wewe ni kama waoKeep my word
πππππMawazo yako yanaanza na kuenguliwa, halafu unaita wengine wavivu wa kufikiri
Kama.una adui mkubwa nafsini kwako, ni kuona kila.fikra zako ziko deep kuliko za wengine
Kihere here chako ndio kimekuleta kwenye ramliKila mwenye access na internet kawa mpiga ramli siku hizi.
25th August wala siyo mbali sana.
Mmoja atajitoa na kumuunga mwingineHuenda uko sahihi, je ikitokea wote wameidhinishwa na Nec kugombea Urais je mtahamia kwa nani? na kwanini?
Labda asirudishe fomu mmojawapo lakini ukisharudisha fomu ndio imetoka hiyo kujitoa hakutakbuliwi na NEC .Watakuweka mgombea . Mengine ujijua mwenyeweKuna logic! Kama wana nia ya kuungana, ni matter ya mmoja kujitoa mwishoni if all two will be certified! , this also can work effectively!
Nikuulize, hivi Britanicca wa Twitter ndio wwe?
Huenda uko sahihi, je ikitokea wote wameidhinishwa na Nec kugombea Urais je mtahamia kwa nani? na kwanini?
Anayeandika hapa ni YEYE BRITANICCA
Wavivu wa Fikra wanadhani Imekuwa Ngumu ACT na Chadema Kuungana kisa uchu wa madaraka nani agombee, sasa nawafungua Bongo zenu
Hakuna ugumu kuna mbinu NEC lazima tuwapime wanajifanya wajanja wakiengua mgombea mmojawapo kwa ukatili, wananchi wanahamia upande mwengine wakiwaacha wote tunakubali mmoja nyoyo zimevurugwa ccm wanatapatapa hawana nguvu ya kusimama mbele ya umma na kuwadanganya.
Lazima kuwa na ubunifu ili ikitokea aina yeyote ya mizengwe Upinzani usikose mwakilishi imara,
Britannica
Britanicca wewe si ulisema uliacha siasa.Anayeandika hapa ni YEYE BRITANICCA
Wavivu wa Fikra wanadhani Imekuwa Ngumu ACT na Chadema Kuungana kisa uchu wa madaraka nani agombee, sasa nawafungua Bongo zenu
Hakuna ugumu kuna mbinu NEC lazima tuwapime wanajifanya wajanja wakiengua mgombea mmojawapo kwa ukatili, wananchi wanahamia upande mwengine wakiwaacha wote tunakubali mmoja nyoyo zimevurugwa ccm wanatapatapa hawana nguvu ya kusimama mbele ya umma na kuwadanganya.
Lazima kuwa na ubunifu ili ikitokea aina yeyote ya mizengwe Upinzani usikose mwakilishi imara,
Britannica