Wanaofagia maofisini vipi maslahi yao?

Wanaofagia maofisini vipi maslahi yao?

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,033
Za asubuhi.
Nauliza hawa wanawake wanaofagia maofisin wanalipwa shi ngapi? na kwa nini ni wananwake tuu why not men?
Wana elimu gani?
Nazungumzia ofisi za serikali tuu.
 
hao hawalipwi na serikali ila kuna madalali wa kazi ndo wameingia ubia na serikali na mishahara yao haizidi laki na nusu
 
hao hawalipwi na serikali ila kuna madalali wa kazi ndo wameingia ubia na serikali na mishahara yao haizidi laki na nusu
duu nkazan wanajulikana kumbe... mbona hela kidogo sana hiyo?
 
Za asubuhi.
Nauliza hawa wanawake wanaofagia maofisin wanalipwa shi ngapi? na kwa nini ni wananwake tuu why not men?.
Hata "men" huwa wapo. Ofisi nyingi zinaingia contract na kampuni then kampuni ndo inabeba administration ya hao watu. Kampuni mara zote zinavuta pesa nyingi sana kwa kichwa ila mwisho wa siku wanawalipa hao wafanyakazi up to TShs. 150,000/= kwa wenye bahati. Imagine wanaishije mjini kama Dar.
 
Hata "men" huwa wapo. Ofisi nyingi zinaingia contract na kampuni then kampuni ndo inabeba administration ya hao watu. Kampuni mara zote zinavuta pesa nyingi sana kwa kichwa ila mwisho wa siku wanawalipa hao wafanyakazi up to TShs. 150,000/= kwa wenye bahati. Imagine wanaishije mjini kama Dar.
wajinga ndio kipato chetu pia hapa mjini bora uwe na kazi kuliko kukosa kazi
 
Back
Top Bottom