blackandwhite
Member
- Mar 4, 2015
- 62
- 92
Naona wingi wa ahadi kutoka kwa wagombea watafanya hili na lile lakini wanasahau kutuambia njia watakozotumia kutukamua kupata hizo fedha za kuyafanya hayo wanayotuahidi.
Nilikuwa nafikiri ni wakati muafaka watupe na njia za kupata ili tuchague pia na njia ya kukamuliwa sababu njia nyingine wanazotumia zimetuumiza sana
Nilikuwa nafikiri ni wakati muafaka watupe na njia za kupata ili tuchague pia na njia ya kukamuliwa sababu njia nyingine wanazotumia zimetuumiza sana