Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

Naendelea tuu kusisitiza, hawa watu wanaohamia CCM, wasibezwe!, wanaona mbali!.
P.

Shukrani Pascal kwa utabiri makini kwani ni kweli wote wameona mbali na hawakuishia hapo tu bali pia wamesikia na kunusa kuwa 2020 hakutakuwa na mgombea wa CDM wala ACT hivyo kwanini wasianze kuchanga karata zao sasa hivi? amini usiamini zoezi linaendelea lakini pia baadhi yao wataambulia "karamu ya fisi"
 
Haya endelea kutafuta kiki, matokeo ya serikali za mitaa yatakufungua macho, mwaka 2020 ni funga kazi.
Ni ukweli ulio dhahiri kuwa vyama vya upinzani havikujiandaa kufanya siasa katika mazingira kama ya sasa ambapo chama kilicho madarakani pamoja na mapungufu yake lakini kinatekeleza kwa asilimia kubwa yale ambayo wao walikuwa wanayapigia makelele.

Ni lazima sasa watafute strategy la sivyo baada ya october 2020 litakalotokea litakuwa historia nyingine kubwa.
 
Ni ukweli ulio dhahiri kuwa vyama vya upinzani havikujiandaa kufanya siasa katika mazingira kama ya sasa ambapo chama kilicho madarakani pamoja na mapungufu yake lakini kinatekeleza kwa asilimia kubwa yale ambayo wao walikuwa wanayapigia makelele.

Ni lazima sasa watafute strategy la sivyo baada ya october 2020 litakalotokea litakuwa historia nyingine kubwa.
Strategy mpya dhidi ya mtu anayewatuma watendaji kuharibu form za wagombea wa upinzani ni strategy inayosimamia madai ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
"hongera kubwa zaidi ambayo ni hongera in advance ni ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ambapo CCM itakomba kila kijiji na kila mtaa".......


nimenukuu sehemu ya sentensi kwenye aya yako ya mwisho ya bandiko hili la Nov 2017 exactly 2yrs ago!..... bravo paskali,bravo!


but one thing is for certain "we are doomed"....... but i can bet wabunge wakatoliki waliopo upinzani 2020 wanaweza kurudi bungeni kama wakigombea kupitia upinzani ila hawa wa matengenezo sijui protestant wasahau!
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo jambo lililofanyika bali bali unaliangalia kwa kujiuliza the motive behind jambo hili kufanyika jinsi hiyo lilivyofanyika ni nini? na matokeo ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu wa jambo hili ni nini?, ndipo unakuja na conclusion kama hii.

Jambo letu kwenye uzi huu ni ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa marudio wa madiwani kata 43.


Politics is a game of hide and seek and the changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya siasa za Tanzania ya Magufuli, wanasiasa karibu wote walioko upinzani, with very few exceptions, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends za kisiasa kwa kuangalia mwelekeo wa 2020, kwa matokeo haya, watakuwa wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa zetu za Tanzania na siasa za upinzani nchini katika kipindi hiki cha Tanzania ya Magufuli na their chances ya upinzani kushinda kata yoyote au jimbo lolote kuelekea 2020, hivyo, wenye kuona mbali, wameamua kufanya uamuz wa mapema kwa kuvihama vyama vyao sasa kwa kujiunga CCM!, ili ku secure their positions mapema badala ya kusubiri kifo hiyo 2020!

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then mtu huyo, atajiunga CCM now!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani wa kata 4 kwa jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then siasa za Tanzania kwa sasa, CCM ndio mpango mzima!, kama kuna mwanasiasa yoyote, au wowote, wanataka future ya politics kama ajira yao ya kudumu na kukamata ulaji, kujitafunia keki ya taifa, chama cha kujiunga nacho ni CCM!.

Hapa nazungumzia ukweli halisi wa kitu kilichopo, ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo ya mwisho tuu, ya kitu kilichotokea, ambacho ndicho kilichopo, ni CCM imeshinda!, bila kujalisha imeshindaje au imeshinda kwa mbinu gani, ziwe ni mbinu halali au haramu, CCM imeshinda kihalali kwa kufanya siasa safi, au kiharamu kwa kubebwa na wasimamizi wa uchaguzi, au upinzani umeshindwa kihalali kutokana na udhaifu wa kukosekana upinzani imara, ama upinzani umechezewa faulo za waziwazi, hapa mimi nazungumzia matokeo ya mwisho ya mshindi ni nani.

Aliyetangazwa mshindi ndiye aliyeshinda, na mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, the looser standing small, aliyeshinda kashinda, ndiye mshindi na ni mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justify the means".

Wapinzani poleni sana!, CCM hongereni sana kwa ushindi huu, na hongereni kubwa in advance kwa chaguzi nyingine ndogo zitakazo fuatia, na hongera kubwa zaidi in advance ni hongera ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ambapo CCM itakomba lila mtaa na kila kijiji na matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ndio yatawafungua watu macho hiki mimi ninachokizungumzia cha matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020 kwa Tanzania kutabadili kabisa structure ya Tanzania kuwa ni nchi ya vyama vingi kwa sababu kiukweli Tanzania kuendelea kuitwa ni nchi ya vyama vingi jina tuu, lakini in actual fact, Tanzania post 2020 ni Tanzania ya CCM tuu and only CCM!. Hongera sana rais Magufuli kuturudishia Tanzania ya Nyerere kwa kuirudisha Tanzania yetu kuwa ni nchi ya chama kimoja cha siasa, CCM, hivyo sasa kazi itabaki ni moja tuu, kuleta maendeleo kama China. China ni nchi ya chama kimoja, na sasa ndio inaelekea kutawala uchumi wa dunia, na sisi Tanzania we can follow its foot steps, tuna kila kitu cha kutuwezesha kutawala uchumi wa Africa Mashariki, uchumi wa SADC na uchumi wa Bara la Africa.

Viva Magufuli
Viva Tanzania
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema.

Paskali
Rejea
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...

Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha ...


Jee Magufuli Anaimarisha CCM Au Anaua Upinzani?. Tunaelekea Nchi ya Chama Kimoja?.

Nini Mustakabali wa Upinzani TZ?


Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.


CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za ...

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
 
Kaka pascal ni ngumu sana kwa CCM kurudisha majimbo yote

Hali ya CCM ni mbaya sana, na Pamoja na Jitihada za Mtukufu Rais kumbambana na Ufisadi, Rushwa nk, lakini nachelea kusema kuwa HAKUBALIKI, sio ndani wala nje ya CCM, kwa jitihada alizozifanya mtukufu raisi ule uchaguzi wa madiwani wala CCM wasingefanya kampeni, lakini matokeo yake nguvu kubwa sana imetumika
Kwa nini nasema ni Vigumu CCM kurudisha majinbo
1: Mtukufu Rais itambidi apambane sana na Hali yake, uoinzani kutoka chamani na nje, so hatakiwa na muda wa kuwaangalia watu wa chini kama aliokuwa nao sasa
2: uchaguzi wa Zanzibar, msimu uliopita Lowassa aliwababaisha sana ikafikia kipindi wakaisahau Zanzibar na hatimae Hamad akajitangaza Mshindi (Asante Jecha), so uchaguzi ujao CCM hawawezi kamwe kuisahau Zanzibar
3: Chadema sasa ina Wapenzi wa chama waliopo Royal kwa kiasi fulani, na tunalipima hilo kwa sababu pamoja na kuondoka kwa Zitto, Slaa nk, bado Chadema iliweza kujikusanyia Wabunge wengi zaidi, na Madiwani wengi mpaka kupelekea kushika baadhi ya Halmashauri kwenye miji mikubwa
Mkuu umenena vizuri. Anacho maanisha Pascal ni kuwa ccm itashinda kwa njia ovu kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa marudio. Jambo asilolijua ni kuwa siasa hazitabiriki na mwaka ujao utakuwa mwaka wa maajabu sana. Ukweli ni kuwa JPM hakubaliki kabisa ndiyo maana wakaanda mbinu chafu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa
 
Kwa maoni yangu mimi kama lengo la Taifa letu ni kujenga Taifa lenye mfumo wa chama kimoja kinachofanyika sasa hivi ni sawa kama lengo ni lile liloandikwa kwenye katiba kwamba Tanzania ni nchi yenye mfumo wa vyama vingi na kwamba lengo la Taifa ni kuiimalisha mfumo huu kinachofanyika si sawa kwa sababu ni tofauti na malengo yetu tuliyo ya documents kwenye katiba na sheria nyingine za nchi labda njia bora ni kubadilisha malengo ya kitaifa
 
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo jambo lililofanyika bali bali unaliangalia kwa kujiuliza the motive behind jambo hili kufanyika jinsi hiyo lilivyofanyika ni nini? na matokeo ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu wa jambo hili ni nini?, ndipo unakuja na conclusion kama hii.

Jambo letu kwenye uzi huu ni ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa marudio wa madiwani kata 43.


Politics is a game of hide and seek and the changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya siasa za Tanzania ya Magufuli, wanasiasa karibu wote walioko upinzani, with very few exceptions, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends za kisiasa kwa kuangalia mwelekeo wa 2020, kwa matokeo haya, watakuwa wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa zetu za Tanzania na siasa za upinzani nchini katika kipindi hiki cha Tanzania ya Magufuli na their chances ya upinzani kushinda kata yoyote au jimbo lolote kuelekea 2020, hivyo, wenye kuona mbali, wameamua kufanya uamuz wa mapema kwa kuvihama vyama vyao sasa kwa kujiunga CCM!, ili ku secure their positions mapema badala ya kusubiri kifo hiyo 2020!

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then mtu huyo, atajiunga CCM now!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani wa kata 4 kwa jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then siasa za Tanzania kwa sasa, CCM ndio mpango mzima!, kama kuna mwanasiasa yoyote, au wowote, wanataka future ya politics kama ajira yao ya kudumu na kukamata ulaji, kujitafunia keki ya taifa, chama cha kujiunga nacho ni CCM!.

Hapa nazungumzia ukweli halisi wa kitu kilichopo, ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo ya mwisho tuu, ya kitu kilichotokea, ambacho ndicho kilichopo, ni CCM imeshinda!, bila kujalisha imeshindaje au imeshinda kwa mbinu gani, ziwe ni mbinu halali au haramu, CCM imeshinda kihalali kwa kufanya siasa safi, au kiharamu kwa kubebwa na wasimamizi wa uchaguzi, au upinzani umeshindwa kihalali kutokana na udhaifu wa kukosekana upinzani imara, ama upinzani umechezewa faulo za waziwazi, hapa mimi nazungumzia matokeo ya mwisho ya mshindi ni nani.

Aliyetangazwa mshindi ndiye aliyeshinda, na mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, the looser standing small, aliyeshinda kashinda, ndiye mshindi na ni mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justify the means".

Wapinzani poleni sana!, CCM hongereni sana kwa ushindi huu, na hongereni kubwa in advance kwa chaguzi nyingine ndogo zitakazo fuatia, na hongera kubwa zaidi in advance ni hongera ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ambapo CCM itakomba lila mtaa na kila kijiji na matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ndio yatawafungua watu macho hiki mimi ninachokizungumzia cha matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020 kwa Tanzania kutabadili kabisa structure ya Tanzania kuwa ni nchi ya vyama vingi kwa sababu kiukweli Tanzania kuendelea kuitwa ni nchi ya vyama vingi jina tuu, lakini in actual fact, Tanzania post 2020 ni Tanzania ya CCM tuu and only CCM!. Hongera sana rais Magufuli kuturudishia Tanzania ya Nyerere kwa kuirudisha Tanzania yetu kuwa ni nchi ya chama kimoja cha siasa, CCM, hivyo sasa kazi itabaki ni moja tuu, kuleta maendeleo kama China. China ni nchi ya chama kimoja, na sasa ndio inaelekea kutawala uchumi wa dunia, na sisi Tanzania we can follow its foot steps, tuna kila kitu cha kutuwezesha kutawala uchumi wa Africa Mashariki, uchumi wa SADC na uchumi wa Bara la Africa.

Viva Magufuli
Viva Tanzania
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema.

Paskali
Rejea
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...

Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha ...


Jee Magufuli Anaimarisha CCM Au Anaua Upinzani?. Tunaelekea Nchi ya Chama Kimoja?.
Nini Mustakabali wa Upinzani TZ?


Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.


CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za ...

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...


Kuna matatizo mawili yatatokea
1. Kwasababu upinzania utashidwa kwa kusisia na sio kwenye mioyo ya watu imebadilika upinzania utaendelea. Kuna tofauti kubwa kati ya upinzani na vyama vya siasa.
2. Watu wengi wameenda kimaslahi na si kweli kwasababu ya kuunga mkono maana kuna Watanzania wengi kama sisi hatuna vyama. Hivyo kuna hatari upinzani kutawaliwa na matajiri kuloko ilivyo sasa
3. Upinzania utabadilika miaka ijayo na utakuwa upinzania wa kupigania uhuru kama ulivyo huko Sudani na sio upinzania wa kupigania maendeleo. Kuna tofauti. Hii itakuwa ngumu kwa CCM maana maendeleo yatazoeleka lakini watu watahitaji uhuru mfano Bolivia president aliingia hivi hivi baada ya watu kuzoea maendeleo wameandamana na kumtoa kakimbilia Mexico ingawa ndiye kaleta maendeleo

 
Can't shy away from tribalism Pasco ! Ndio maana Nyerere hakuwapa vyeo! Nakumbuka Ilboru ulivyokuwa. You are what you have always been
 
Can't shy away from tribalism Pasco ! Ndio maana Nyerere hakuwapa vyeo! Nakumbuka Ilboru ulivyokuwa. You are what you have always been
Mkuu Nyani Mzee, kumbe ulisoma Ilboru?. Hongera, maana kusoma Ilboru sio mchezo, ila kuniita mimi ni mkabila tangu Ilboru, ni uthibitisho kuwa wewe ulihadithiwa tuu kuwa Pasco Mayalla alisoma Ilboru, ila utakuwa hunijui kabisa!.
P
 
Wanabodi.

Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja?

Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo jambo lililofanyika bali bali unaliangalia kwa kujiuliza the motive behind jambo hili kufanyika jinsi hiyo lilivyofanyika ni nini? na matokeo ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu wa jambo hili ni nini?, ndipo unakuja na conclusion kama hii.

Jambo letu kwenye uzi huu ni ushindi wa CCM kwenye uchaguzi wa marudio wa madiwani kata 43.


Politics is a game of hide and seek and the changing variables, hivyo kwa mazingira ya sasa ya siasa za Tanzania ya Magufuli, wanasiasa karibu wote walioko upinzani, with very few exceptions, wenye uwezo wa kuona mbali kwa kusoma trends za kisiasa kwa kuangalia mwelekeo wa 2020, kwa matokeo haya, watakuwa wameishasoma mazingira yaliyopo na hali halisi ya siasa zetu za Tanzania na siasa za upinzani nchini katika kipindi hiki cha Tanzania ya Magufuli na their chances ya upinzani kushinda kata yoyote au jimbo lolote kuelekea 2020, hivyo, wenye kuona mbali, wameamua kufanya uamuz wa mapema kwa kuvihama vyama vyao sasa kwa kujiunga CCM!, ili ku secure their positions mapema badala ya kusubiri kifo hiyo 2020!

Hivyo kwa hali hii, kama kuna mtu yoyote anataka kuwa na future kwenye politics za Tanzania kuelekea 2020, then mtu huyo, atajiunga CCM now!. Uthibitisho ni matokeo ya uchaguzi huu wa madiwani wa kata 4 kwa jinsi CCM ilivyotetea kata zake zote, na kukomba kata zote zilizokuwa zinasikiliwa na upinzani kasoro moja.

Hivyo kwa wanasiasa wanauojua kutazama mbali kwa kusoma trends, then siasa za Tanzania kwa sasa, CCM ndio mpango mzima!, kama kuna mwanasiasa yoyote, au wowote, wanataka future ya politics kama ajira yao ya kudumu na kukamata ulaji, kujitafunia keki ya taifa, chama cha kujiunga nacho ni CCM!.

Hapa nazungumzia ukweli halisi wa kitu kilichopo, ambao unaweza kuwa ni ukweli mtamu kwa CCM na ukweli mchungu kwa wapinzani, bila kujalisha kama Tume yetu ya Uchaguzi ni tume huru, au la, na kama chaguzi zetu ni changuzi huru na za haki, hapa mimi nazungumzia matokeo ya mwisho tuu, ya kitu kilichotokea, ambacho ndicho kilichopo, ni CCM imeshinda!, bila kujalisha imeshindaje au imeshinda kwa mbinu gani, ziwe ni mbinu halali au haramu, CCM imeshinda kihalali kwa kufanya siasa safi, au kiharamu kwa kubebwa na wasimamizi wa uchaguzi, au upinzani umeshindwa kihalali kutokana na udhaifu wa kukosekana upinzani imara, ama upinzani umechezewa faulo za waziwazi, hapa mimi nazungumzia matokeo ya mwisho ya mshindi ni nani.

Aliyetangazwa mshindi ndiye aliyeshinda, na mshindi ni mshindi tuu, the winner takes it all, the looser standing small, aliyeshinda kashinda, ndiye mshindi na ni mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justify the means".

Wapinzani poleni sana!, CCM hongereni sana kwa ushindi huu, na hongereni kubwa in advance kwa chaguzi nyingine ndogo zitakazo fuatia, na hongera kubwa zaidi in advance ni hongera ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ambapo CCM itakomba lila mtaa na kila kijiji na matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ndio yatawafungua watu macho hiki mimi ninachokizungumzia cha matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020 kwa Tanzania kutabadili kabisa structure ya Tanzania kuwa ni nchi ya vyama vingi kwa sababu kiukweli Tanzania kuendelea kuitwa ni nchi ya vyama vingi jina tuu, lakini in actual fact, Tanzania post 2020 ni Tanzania ya CCM tuu and only CCM!. Hongera sana rais Magufuli kuturudishia Tanzania ya Nyerere kwa kuirudisha Tanzania yetu kuwa ni nchi ya chama kimoja cha siasa, CCM, hivyo sasa kazi itabaki ni moja tuu, kuleta maendeleo kama China. China ni nchi ya chama kimoja, na sasa ndio inaelekea kutawala uchumi wa dunia, na sisi Tanzania we can follow its foot steps, tuna kila kitu cha kutuwezesha kutawala uchumi wa Africa Mashariki, uchumi wa SADC na uchumi wa Bara la Africa.

Viva Magufuli
Viva Tanzania
Mungu Ibariki Tanzania.

Jumatatu Njema.

Paskali
Rejea
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa ...

Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha ...


Jee Magufuli Anaimarisha CCM Au Anaua Upinzani?. Tunaelekea Nchi ya Chama Kimoja?.
Nini Mustakabali wa Upinzani TZ?


Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.


CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za ...

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
Paskali huwa unaona mbali sana!!
 
Ni watu waliojaa mavi tu akili zao ndio wanaona hivyo
Dah...kwa akili ndogo tu...isiyohitaji hata digrii... Kazi ya siasa ndiyo inawafanya wajaze matumbo yao...Ni Kama banker anayeona benki yake inaenda kufilisika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom