Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

Certainly. You know damn well that “Smart opposition players” have already started shifting to the winning side.
Mkuu Drifter, kiukweli nimekupenda haswa katika kuambiana kitu kinachwoitwa the bitter reality, it's very bitter to swallow but is is the reality you will have to swallow regardless unapenda au hupendi, unakubaliana na hali hiyo au hukubaliani, kama hicho ndicho kilichopangwa kitokee, ndicho kitakachotokea hiyo 2020.

Hao smart opposition players unaowazungumzia ndio hawa ninao wazungumza katika bandiko hili.

P
 
Hawaendi huko kwa mapenzi yao. Kauli hizo zinathibitishwa ni mwanaccm.
IMG_20191202_164846.jpeg
 
Mkuu Driter, kiukweli nimekupenda haswa katika kuambiana kitu kinachwoitwa the bitter reality, it's very bitter to swallow but is is the reality you will have to swallow regardless unapenda au hupendi, unakubaliana na hali hiyo au hukubaliani, kama hicho ndicho kilichopangwa kitokee, ndicho kitakachotokea hiyo 2020.

Hao smart opposition players unaowazungumzia ndio hawa ninao wazungumza katika bandiko hili.

P

Ndugu pascal, mabandiko yako yamekaa vizuri kuchangamsha baraza. Lakini tukizingatia kuwa hizi sio hadithi za kijiweni bali ni kuhusu hali halisi ya nchi yetu na wajibu tulio nao kwake, basi sisi ni jamii ya ovyo sana kuchukulia kawaida ukiukwaji wa misingi ya demokrasia, haki za binadamu, na utawala bora tulipofikia kama vile ni zoezi la kitaaluma tu. Ni aibu kwa sisi wenye uelewa kujivunia uwezo wetu wa kuchambua na kukisia mikakati ya wachumia tumbo “smart politicians” kuimarisha utawala mbovu wa kiimla uliopania kuharibu misingi ya taifa makini.

Ni aibu zaidi kujifanya hatuhusiki na harakati za “wanasiasa” - akina Magufuli na kina Mbowe zaidi ya kuishia kuchambua jinsi mmoja wao atakavyorejesha utawala wa chama kimoja na jinsi chama kikuu cha upinzani kitakavyomalizwa 2020 - kama vile tunawapima Nasibu na Kiba.

We have become part and parcel of this embarrassment. We have to do more in terms of defining our stance rather than just demonstrating our “genius” for discerning the “smart moves” of twisted and shameless politicians that are hell-bent on destroying the country.
 
Ndugu pascal, mabandiko yako yamekaa vizuri kuchangamsha baraza. Lakini tukizingatia kuwa hizi sio hadithi za kijiweni bali ni kuhusu hali halisi ya nchi yetu na wajibu tulio nao kwake, basi sisi ni jamii ya ovyo sana
We have become part and parcel of this embarrassment. We have to do more in terms of defining our stance rather than just demonstrating our “genius” for discerning the “smart moves” of twisted and shameless politicians that are hell-bent on destroying the country.
Mkuu Drifter, sisi wengine kazi yetu ni kusema tuu na kuandika, ila pia niliwahi kushauri hivi
Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or ...
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze ...
Je, Maendeleo ya Kweli ni Maendeleo ya Watu au Vitu?- Wachumi ...
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas ...
Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka ...

P
https://www.jamiiforums.com/threads...ika-sasa-ni-zamu-ya-media-ina-suffer.1518514/
 
Waambie wasipoteze muda, hakuna upinzani tena
Hapa tulipofika, hakuna tena haja ya kumwambia mtu kuhusu kupoteza muda, wenye macho na wanaoona mbali, wanaendelea kuchukua maamuzi, wengi wa wabunge wanausubiri ile pensheni yao wasepe zao.
P
 
Kipi kinachokushangaza?kwn hii nchi n mara ya kwanza kuwa ya chama kimoja?c wakat ambao.watu walivaa misulupwete nadhan angekuwa Rais aliyepta na haya yanayoendelea ungesikia kelele kila kona hasa kutoka kanisa lako pendwa
 
Hapa tulipofika, hakuna tena haja ya kumwambia mtu kuhusu kupoteza muda, wenye macho na wanaoona mbali, wanaendelea kuchukua maamuzi, wengi wa wabunge wanausubiri ile pensheni yao wasepe zao.
P
Shetani Kumiliki Dunia ni tukio linalotazamiwa ila Mungu bado husisitiza waja wake kuwa imara na wavumilivu nyakati hizi za mwisho, Mwenye masikio na asikie neno roho ayaambia Mataifa ,
Sasa Mh wewe kama unadhani kila kinachokimbiliwa ni salama , Changamsha Akili na ung'amue Kwa jicho la HAKI utaopata jibu la USHETANI ujao.
Hata mafuta ya upako yalikimbiliwa (Wajinga walijifanya Wameona mbali na wametumia fulsa) Mwishowe watu wameangamia kwa kukosa Maarifa.
 
Wananchi sio wajinga , 2020 mbwai mbwai kama sehemu Upinzani umeshinda na wakitaka kubadili mchezo tutahakikisha hatoki mtu sio polisi wala NEC tunafanya kama Biafra 2015 Azzan alipotaka kupindua Meza Kibabe.
 
Wenye akili wamebaini ugonjwa mkubwa wa chama kikuu cha upinzani ni wao kujigeuza kuwa chombo cha utakatishaji wa mafisadi.
Ukiwa mchafu, hamia chadema...you will be washed and become as white as snow! Sad
Kwahiyo mnaamini kina E.L na Sumae ,sasa ni wasafi? , Hamtawafanyia tena FIGISU za KUTAIFISHA MALI ZAO?,
 
Wimbi la kujitambua linaendelea kwa kasi,
Sasa aliyejitambua ni Vincent Mashinji

2008 - 2010 Evin School of Management (Shahada ya Uzamili (Masters) ya Public Relations (CSR)
Kiukweli mtu aliyesomea MD halafu anakuja kufanya masters ya PR na alikuwa na PR mbovu vile, huyu mwacheni aende tuu, ana very impressive CV lakini delivery ni bure kabisa!.

P
 
Pascal Mayalla heri tubaki na chama kimoja kuliko haya mazuzu yaliyopo,hebu jifikirie hawana ajenda rasmi wanapayuka tu na kutuchonganisha huko ughaibuni kutwa kutoa lawama bila solution Kuna huni moja limeanza kubishana na Steve Nyerere just imagine??
 
Siamini kama chama kimoja cha siasa kupata viti vyote ni mfumo wa chama kimoja kwani vyama vingine kama 18 vipo kwenye register ya msajili wa vyama vya siasa.
Kuna vyama huwa havipati ushindi lakini haina maana kuwa sio vyama vya siasa.
Naongea haya kama kweli uamuzi utafanywa na wananchi bila kuingiliwa uhuru wao wa kuchagua.
 
Back
Top Bottom