Wanaohudhuria mikutano ya +255 ya CHADEMA nusu ni CCM, wanawachora tu

Wanaohudhuria mikutano ya +255 ya CHADEMA nusu ni CCM, wanawachora tu

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sana Mzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.

1693226627984.png
 
Bonge La Afya

@FestoNgadaya
·
12m

Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sanaMzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
Ni mada ya kumsifia huyo Imaraseko Kishimba 😂😂
 
Bonge La Afya
@FestoNgadaya
·
12m

Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sanaMzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
Ungefafanua sasa wanawachora kvp angalau wanajamvi waelewe!
 
Bonge La Afya
@FestoNgadaya
·
12m

Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sanaMzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
CCM tunaumia sana.
Makada wetu wameanza kuvutiwa na hoja za wapinzani wetu
 
Bonge La Afya
@FestoNgadaya
·
12m

Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sanaMzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
Mkuu hata kama umecopy, basi walau uwe unajitahidi kuondoa baadhi ya vitu ionekane walau ni wazo lako
 
Mkuu hata kama umecopy, basi walau uwe unajitahidi kuondoa baadhi ya vitu ionekane walau ni wazo lako
Miye si mjinga kama unavyonidhania. Ukikosa heshima uwe na adabu basi
 
Usije kushangaa ya kikwete kumkuta kishimba wakati wa kampeni

Namnukuu kikwete akiwa singida ikungi "nawaomba wananchi kura zote za urais mpeni Dr slaa za ubunge mpeni MBunGE wa ccm "

Kauli hiyo isije geukia Kwa kishimba
Kwasababu ni mkweli akaja Tamka kwamba "kura zote za urais mpeni tundulisu zaubunge nipeni Mimi kishimba nifanye KAZI na Lisu (vipi hapo)
 
Hata Makanisa na misikiti inawalenga hasa wale Wafuasi wa Shetani
 
Simple ameshatuibia tayari mtu unamwita simple. Hizi nchi kuja kuendelea ni ndoto
 
Hata Makanisa na misikiti inawalenga hasa wale Wafuasi wa Shetani
Mikutano ya hadhara inavutia sana hasawakati huu wa kiangazi- sehemu nzuri sana ya kupotezea mda. Tahadhari yangu kwenu nyie CHADEMA msije geuza hizo kura.
 
Halfu utajidai umeandika mada kwelikweli! 🤣 🤣 🤣
Naona nguo zinawabana kwelikweli!
halafu hapo; hakuna mafuso wala matrekta, wamekuja wenyewe!
 
Hongera Mbuge Kishimba, elimiu Haina mwisho. Akihudhurqia mikutano mitatu tu atakuwa amepata elimi ya kutosha na hasa hasa kubusu masuala ya DP world.
 
Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sana Mzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.

View attachment 2731448
Endelea kujifariji,ule ukoo wa panya unateketezwa na paka hivyo🏃🏃😂😂
 
Mikutano ya hadhara inavutia sana hasawakati huu wa kiangazi- sehemu nzuri sana ya kupotezea mda. Tahadhari yangu kwenu nyie CHADEMA msije geuza hizo kura.

..Na sasa hivi vyama vinavyotajwa ni CCM na CDM. vyama vingine vimekuwa kama wasindikizaji tu.

..kwa msingi huo, madai kwamba nusu ya wahudhuriaji wa mikutano ya CDM ni wana CCM inaweza kuwa na ukweli.

..lakini pia ni jambo zuri kwa siasa zetu ikiwa wananchi watahudhuria mikutano ya hadhara hata ile ya vyama wasivyoviunga mkono. pamoja na kutoa elimu ya masuala mbalimbali, mikutano ya hadhara ni sehemu ya burudani.
 
CCM tunaumia sana.
Makada wetu wameanza kuvutiwa na hoja za wapinzani wetu
CCM wanachekesha sana! Eti wanaumia wanachama wao kurudisha kadi. Joto la uchaguzi mkuu limeanza kupanda kwa kasi ya ajabu. Wasipochanga karata zao uchaguzi mkuu ujao utakuwa na maajabu ya kushangaza duniani, wanaweza kuangukia pua na upinzani kuibuka na ushindi mnono
 
Back
Top Bottom