Ni mada ya kumsifia huyo Imaraseko Kishimba 😂😂Bonge La Afya
@FestoNgadaya
·
12m
Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sanaMzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
Ungefafanua sasa wanawachora kvp angalau wanajamvi waelewe!Bonge La Afya
@FestoNgadaya
·
12m
Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sanaMzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
Yeye mwenyewe haelewi ka-copy na ku-paste kutoka mtandao wa XUngefafanua sasa wanawachora kvp angalau wanajamvi waelewe!
Kwenye suala la bandari yupo upande gani kiukweli toka rohoni mwakembunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
CCM tunaumia sana.Bonge La Afya
@FestoNgadaya
·
12m
Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sanaMzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
Mkuu hata kama umecopy, basi walau uwe unajitahidi kuondoa baadhi ya vitu ionekane walau ni wazo lakoBonge La Afya
@FestoNgadaya
·
12m
Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sanaMzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
Endelea kujifariji,ule ukoo wa panya unateketezwa na paka hivyo🏃🏃😂😂Mzee Kishimba yupo zake kwenye mkutano wa Lissu, kasimama na wana anakula zake Muhindi. Safi sana Mzee anamiliki Dar Free market, zile supermarket za Imalaseko, utitiri wa nyumba za kupangisha, magorofa kibao, mbunge wa muda tu, lakini yupo simple, anaishi na watu wake.
View attachment 2731448
Mikutano ya hadhara inavutia sana hasawakati huu wa kiangazi- sehemu nzuri sana ya kupotezea mda. Tahadhari yangu kwenu nyie CHADEMA msije geuza hizo kura.
CCM wanachekesha sana! Eti wanaumia wanachama wao kurudisha kadi. Joto la uchaguzi mkuu limeanza kupanda kwa kasi ya ajabu. Wasipochanga karata zao uchaguzi mkuu ujao utakuwa na maajabu ya kushangaza duniani, wanaweza kuangukia pua na upinzani kuibuka na ushindi mnonoCCM tunaumia sana.
Makada wetu wameanza kuvutiwa na hoja za wapinzani wetu
Ukigundua kwamba mleta mada hajawahi kumiliki akili zaidi ya Uchawa unaachana naye tu.Ni mada ya kumsifia huyo Imaraseko Kishimba [emoji23][emoji23]