Nawaheshimu Al Ahly, lakini si kwamba hawafungiki, leo watalazimika kulitema tonge kabla hawajalimeza!
Hii itapelekea wanaoichukia Simba kuumia sana! Ila sina jinsi ya kuwasaidia itabidi wajiandae tu kisaikolojia!
Niwaombe tu akina Laban Og, Nalia Ngwena, Genta nani vile…. na wengineo wasizikimbie nyuzi zao za uchuro walizozifungua!
Hii itapelekea wanaoichukia Simba kuumia sana! Ila sina jinsi ya kuwasaidia itabidi wajiandae tu kisaikolojia!
Niwaombe tu akina Laban Og, Nalia Ngwena, Genta nani vile…. na wengineo wasizikimbie nyuzi zao za uchuro walizozifungua!