Wanaoihujumu Yanga ni Bwana Chacharito, Baraka Desdeudit na Salum Mkemi


Naamini tunapita katika wakati mgumu ila mambo yatatulia
 
Usiwe na haraka, utapata jibu si muda mrefu
 
Huyu kenge si alijifanya kumtimua Niyonzima kipindi flani leo kageuka malaika kwa Niyonzima dah
Huyo ni mpiga dili kama wengine tu. Hivi sasa yupo beneti na Kaburu kuiumiza Yanga
 
Mkuu kumbuka wachezaji hawachezi mpira maisha yao yote na kumbuka kule sio kama ajira zingine kwamba utalipwa mafao ya uzeeni,
Waachane vijana wapige pesa wakati ni wao na wakati ni huu na hao Mikia waache wapigwe ili mradi wenyewe wameridhia.
Haya mambo ya kusema nachezea damu siku hizi hamna hata huyo Msuva amevumilia sana miezi mitatu hajalipwa..?
Ni wachezaji hawa hawa ambao wengi wao tunawaona wakiishi maisha ya dhiki na tabu siku za mbele na kuomba wachangiwe hivyo waachane wapige pesa na ni sisi sisi mashabiki baadae tunaongea pembeni fulani si alikuwa maarufu yule enzi anacheza mpira wakati alikuwa hapati pesa.
All in all wakati una mwisho na hawana mafao hao.
 
Huyo ni mpiga dili kama wengine tu. Hivi sasa yupo beneti na Kaburu kuiumiza Yanga
Niyonzima kaondoka Yanga sababu Simba wamempa signing fee $70,000 kwa mkupuo while Yanga walitaka kumpa $60,000 kwa awamu mbili.Mshahara wa Yanga/Simba wote ulikuwa sawa $3,000
 
Unajuma maana ya kupigwa? Unafikiri hizo dola elfu 70 ndio dau lake kwa taarifa yako tu madalali wanakula karibu nusu ya hela na ndio kilichofanya yanga waachane nae sbb walitaka kumpa dola 60 elfu lkn 40 cash na 20 kabla ya ligi kuanza lkn kwa sbb madalali wanataka hela wakamshawishi akatae manake lengo lao lisingetimia na kumpanga akachukue za simba ba kule nako walijua atachukua kiasi lkn wakagoma matokeo yake wanakimbizana kukamilisha hela zote na kwa kuingilia bajeti nyingine mpira maisha lkn madau wanayotanga kupewa hawapewi zote
 
Niyonzima kaondoka Yanga sababu Simba wamempa signing fee $70,000 kwa mkupuo while Yanga walitaka kumpa $60,000 kwa awamu mbili.Mshahara wa Yanga/Simba wote ulikuwa sawa $3,000
Mkuu lazima kuna zaidi ya hapo. Haiwezi kuwa issue ya US $ 10,000 tu na malipo ya installments. Miaka yote Yanga wamemlipa kwa hizo installments bila kukosa.
 
Wana yanga tukubali kuwa mambo hayaendi sawa klabun na hasa kipindi hiki cha usajili
 
NAOMBA KINUKE HADI MWISHO WA LIGI IJAYO tuwape 8
 
Wana yanga tukubali kuwa mambo hayaendi sawa klabun na hasa kipindi hiki cha usajili
Tunatakiwa tuwe watulivu sio kushikana uchawi coz ishaeleweka pesa Hakuna, muhimu ni kujiandaa kisaikolojia tu kipindi hiki kigumu
 
Ni nani anapokea pesa za Niyonzima..?
Humu kuna watu wengi wanajifanya wapo karibu na Simba au Yanga na maelezo ya leo yanakuwga tofauti na waliyoyatoa jana au ambayo watatoa kesho
 
Laana ya goli lile la mkono itawamaliza tuu
 
Ny
Nyie malizaneni tu, sisi TUNAJIPANGA..
 
Mkuu lazima kuna zaidi ya hapo. Haiwezi kuwa issue ya US $ 10,000 tu na malipo ya installments. Miaka yote Yanga wamemlipa kwa hizo installments bila kukosa.
Huko nyuma Simba hawakuwa na ubavu kusajili wachezaji Yanga/Azam sababu hawakuwa wanashiriki michuano ya kimataifa+hawakuwa na fedha while msimu huu imewezekana sababu Simba watacheza michuano ya kimataifa+ wana fedha(MO Dewji +Sport Pesa+Friends of Simba) na Azam/Yanga hakuna fedha , Niyonzima ameshuhudia msimu huu wachezaji walivyopata taabu kulipwa mishahara baada ya Manji kuondoka na kumbuka Niyonzima ameshinda almost kila ubingwa akiwa na Yanga so hakuna motivation ya kuendelea kubaki kama anapata offer nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…