Wanaoingia madarakani Syria ndio watakaosaidia utetezi kwa Wapalestina na kuiondoa madarakani serikali ya Netanyahu

Wanaoingia madarakani Syria ndio watakaosaidia utetezi kwa Wapalestina na kuiondoa madarakani serikali ya Netanyahu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siku mbili tangu raisi Bashar Al Assad aondolewe madarakani kutokana na upinzani ulioongozwa na wanamgambo wa chamba cha Hizbu Tahrir,dalili zote zinaonesha watu hao wanaoingia madarakani si vibaraka wa Marekani wala wa Israel.

Mataifa hayo mawili inaonekana yalipigwa chenga sana na harakati za wapinzani hao wa Syria ijapokuwa malengo ya harakati hizo hayajawekwa wazi sana.

Ujumbe wa mwanzo alioutoa Abu Muhammad Aljolan ndani ya msikiti wa Ummayad unamuonesha kiongozi huyo si mtu wa visasi na amekusudia kuijenga upya Syria,Wakati huo huo hajatoa dalili yoyote ya kukubaliana na baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na nchi za Marekani na Israel ndani ya ardhi ya Syria.

Mwanzoni Israel ilitumai kuondolewa kwa Bashar kutakuwa kumewalemaza Hizbullah na kwamba itakuwa imepata mteremko katika vita vyake na Lebanon,Lakini mbinu iliyotumika Gaza kuundwa umoja wa vyama kupigana na Israel unaweza ukatumika baina ya wapiganaji wa Hizbu Tahri na wenzao kuwaunga mkono Hizbullah kuendeleza vita na Israel.

Hali hiyo ni uchuro kwa Israel na inakera kuisikia lakini ndio itakayoiondolea Israel kuwa kijogoo wa mashariki ya kati.
Mtazamo huo tayari umeishtua Israel ambapo tangu juzi imekuwa ikipiga na kuharibu mali na miundombinu ya kijeshi ya Syria jambo ambalo tangu siku ya mwanzo Aljolani amelikataza na kulilani kufanywa na wapiganaji wake.
 
Siku mbili tangu raisi Bashar Al Assad aondolewe madarakani kutokana na upinzani ulioongozwa na wanamgambo wa chamba cha Hizbu Tahrir,dalili zote zinaonesha watu hao wanaoingia madarakani si vibaraka wa Marekani wala wa Israel.
Mataifa hayo mawili inaonekana yalipigwa chenga sana na harakati za wapinzani hao wa Syria ijapokuwa malengo ya harakati hizo hayajawekwa wazi sana,
Ujumbe wa mwanzo alioutoa Abu Muhammad Aljolan ndani ya msikiti wa Ummayad unamuonesha kiongozi huyo si mtu wa visasi na amekusudia kuijenga upya Syria,Wakati huo huo hajatoa dalili yoyote ya kukubaliana na baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na nchi za Marekani na Israel ndani ya ardhi ya Syria,
Mwanzoni Israel ilitumai kuondolewa kwa Bashar kutakuwa kumewalemaza Hizbullah na kwamba itakuwa imepata mteremko katika vita vyake na Lebanon,Lakini mbinu iliyotumika Gaza kuundwa umoja wa vyama kupigana na Israel unaweza ukatumika baina ya wapiganaji wa Hizbu Tahri na wenzao kuwaunga mkono Hizbullah kuendeleza vita na Israel.
Hali hiyo ni uchuro kwa Israel na inakera kuisikia lakini ndio itakayoiondolea Israel kuwa kijogoo wa mashariki ya kati.
Mtazamo huo tayari umeishtua Israel ambapo tangu juzi imekuwa ikipiga na kuharibu mali na miundombinu ya kijeshi ya Syria jambo ambalo tangu siku ya mwanzo Aljolani amelikataza na kulilani kufanywa na wapiganaji wake
Jamaa huwa unaota ndoto nzito hadi udenda unakuchuruzika.Amka wewe!🤣🤣🤣
 
Unajua mpaka kufika hapo ? Hao walio wawezesha hawatokubali hilo
Hujui kuwa aliyewawezesha waasi kumtoa Assad ni Uturuki, na aliyembakiza madarakani Assad mpaka sasa ni Uturuki na Russia. Kama umesoma hesabu utaweza kutoa na kujumlisha ili upate jawabu.
Ni hivi, Syria ni nchi muhimu sana kwa usalama wa Uturuki. Tatizo la Assad alishindwa kuwadhibiti wakurdi (wanaosaidiwa na Israel/marekani) waliokuwa wakileta matatizo Uturuki na ambao wamejitangazia uhuru katika eneo lao. Kwa usalama wa Uturuki, hii ni hatari. Uturuki inataka kuona Syria Moja.

Pili. ili kuweka Bafo zone kwa Israel, ni muhimu Uturuki iwe na mshiriki/mtawala Syria mwenye kuwaunganisha Wasyria na atayeisikiliza Uturuki. Assad alipoteza mvuto kwa wananchi wake, haikuwa rahisi kufanya nae kazi ndio maana walimshauri aondoke kwa mtindo huo.
Kiufupi Israel hailali Usingizi kama ambavyo haikulala wakati Hizbollah wakiwemo Syria. Sasa hivi ndio Israel ni waoga zaidi kwa Maana Uturuki ni zaidi ya Iran.
 
Hujui kuwa aliyewawezesha waasi kumtoa Assad ni Uturuki, na aliyembakiza madarakani Assad mpaka sasa ni Uturuki na Russia. Kama umesoma hesabu utaweza kutoa na kujumlisha ili upate jawabu.
Ni hivi, Syria ni nchi muhimu sana kwa usalama wa Uturuki. Tatizo la Assad alishindwa kuwadhibiti wakurdi (wanaosaidiwa na Israel/marekani) waliokuwa wakileta matatizo Uturuki na ambao wamejitangazia uhuru katika eneo lao. Kwa usalama wa Uturuki, hii ni hatari. Uturuki inataka kuona Syria Moja.

Pili. ili kuweka Bafo zone kwa Israel, ni muhimu Uturuki iwe na mshiriki/mtawala Syria mwenye kuwaunganisha Wasyria na atayeisikiliza Uturuki. Assad alipoteza mvuto kwa wananchi wake, haikuwa rahisi kufanya nae kazi ndio maana walimshauri aondoke kwa mtindo huo.
Kiufupi Israel hailali Usingizi kama ambavyo haikulala wakati Hizbollah wakiwemo Syria. Sasa hivi ndio Israel ni waoga zaidi kwa Maana Uturuki ni zaidi ya Iran.
Uturuki ni zaidi ya Iran kivipi
 
Siku mbili tangu raisi Bashar Al Assad aondolewe madarakani kutokana na upinzani ulioongozwa na wanamgambo wa chamba cha Hizbu Tahrir,dalili zote zinaonesha watu hao wanaoingia madarakani si vibaraka wa Marekani wala wa Israel.

Mataifa hayo mawili inaonekana yalipigwa chenga sana na harakati za wapinzani hao wa Syria ijapokuwa malengo ya harakati hizo hayajawekwa wazi sana.

Ujumbe wa mwanzo alioutoa Abu Muhammad Aljolan ndani ya msikiti wa Ummayad unamuonesha kiongozi huyo si mtu wa visasi na amekusudia kuijenga upya Syria,Wakati huo huo hajatoa dalili yoyote ya kukubaliana na baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na nchi za Marekani na Israel ndani ya ardhi ya Syria.

Mwanzoni Israel ilitumai kuondolewa kwa Bashar kutakuwa kumewalemaza Hizbullah na kwamba itakuwa imepata mteremko katika vita vyake na Lebanon,Lakini mbinu iliyotumika Gaza kuundwa umoja wa vyama kupigana na Israel unaweza ukatumika baina ya wapiganaji wa Hizbu Tahri na wenzao kuwaunga mkono Hizbullah kuendeleza vita na Israel.

Hali hiyo ni uchuro kwa Israel na inakera kuisikia lakini ndio itakayoiondolea Israel kuwa kijogoo wa mashariki ya kati.
Mtazamo huo tayari umeishtua Israel ambapo tangu juzi imekuwa ikipiga na kuharibu mali na miundombinu ya kijeshi ya Syria jambo ambalo tangu siku ya mwanzo Aljolani amelikataza na kulilani kufanywa na wapiganaji wake.
Mimi pia nilipo msikia nikadhani vile, kumbe ni muongo huyo ni Puppet mwingine kawadangan'ya badhi ya vikundi ili wamsaidie. Huyo alikuwa anatafutwa na US leo US wanamshangilia wanaakai dunia nzima imtambue. Nimeona video zinasambazwa watoto wanachinjwa kama mbuzi, huyu na Uislam wapi na wapi. Au kama kuna ISIS wamepenya kumchafua hio sijui, lakini ukweli huyo ni Puppet wa US.
 
Unamjua Yahudi au w
Siku mbili tangu raisi Bashar Al Assad aondolewe madarakani kutokana na upinzani ulioongozwa na wanamgambo wa chamba cha Hizbu Tahrir,dalili zote zinaonesha watu hao wanaoingia madarakani si vibaraka wa Marekani wala wa Israel.

Mataifa hayo mawili inaonekana yalipigwa chenga sana na harakati za wapinzani hao wa Syria ijapokuwa malengo ya harakati hizo hayajawekwa wazi sana.

Ujumbe wa mwanzo alioutoa Abu Muhammad Aljolan ndani ya msikiti wa Ummayad unamuonesha kiongozi huyo si mtu wa visasi na amekusudia kuijenga upya Syria,Wakati huo huo hajatoa dalili yoyote ya kukubaliana na baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na nchi za Marekani na Israel ndani ya ardhi ya Syria.

Mwanzoni Israel ilitumai kuondolewa kwa Bashar kutakuwa kumewalemaza Hizbullah na kwamba itakuwa imepata mteremko katika vita vyake na Lebanon,Lakini mbinu iliyotumika Gaza kuundwa umoja wa vyama kupigana na Israel unaweza ukatumika baina ya wapiganaji wa Hizbu Tahri na wenzao kuwaunga mkono Hizbullah kuendeleza vita na Israel.

Hali hiyo ni uchuro kwa Israel na inakera kuisikia lakini ndio itakayoiondolea Israel kuwa kijogoo wa mashariki ya kati.
Mtazamo huo tayari umeishtua Israel ambapo tangu juzi imekuwa ikipiga na kuharibu mali na miundombinu ya kijeshi ya Syria jambo ambalo tangu siku ya mwanzo Aljolani amelikataza na kulilani kufanywa na wapiganaji wake.
Unamjua Yahudi au wamsikia tu weye
 
Mkuu hiyo serikali mpya inaanzia wapi kuwakomboa wapalestina wakati Israel inalipua vituo vya kijeshi na viwanda vya silaha na viwanja vya ndege vya Syria?
Yaani hii serikali mpya sijui itaanzia wapi kutawala baada ya Assad kukimbia!
Hata fedha za kuendesha serikali mpya ya Syria sijui zitapatikana wapi.
Yaani Syria imekwisha!
 
Syria wamechoka na mambo ya vita na wanahitaji amani sasa kwa kuwa yule fala ameondoka.

Kiongozi yeyote wa Syria atakayetaka kuleta uadui na taifa la Israel basi ndio utakuwa mwisho wake kutawala Syria lakini kama atakuwa tayari kushirikiana na Israel atahakikishiwa usalama wake wa kubaki madarakani.
 
Siku mbili tangu raisi Bashar Al Assad aondolewe madarakani kutokana na upinzani ulioongozwa na wanamgambo wa chamba cha Hizbu Tahrir,dalili zote zinaonesha watu hao wanaoingia madarakani si vibaraka wa Marekani wala wa Israel.

Mataifa hayo mawili inaonekana yalipigwa chenga sana na harakati za wapinzani hao wa Syria ijapokuwa malengo ya harakati hizo hayajawekwa wazi sana.

Ujumbe wa mwanzo alioutoa Abu Muhammad Aljolan ndani ya msikiti wa Ummayad unamuonesha kiongozi huyo si mtu wa visasi na amekusudia kuijenga upya Syria,Wakati huo huo hajatoa dalili yoyote ya kukubaliana na baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na nchi za Marekani na Israel ndani ya ardhi ya Syria.

Mwanzoni Israel ilitumai kuondolewa kwa Bashar kutakuwa kumewalemaza Hizbullah na kwamba itakuwa imepata mteremko katika vita vyake na Lebanon,Lakini mbinu iliyotumika Gaza kuundwa umoja wa vyama kupigana na Israel unaweza ukatumika baina ya wapiganaji wa Hizbu Tahri na wenzao kuwaunga mkono Hizbullah kuendeleza vita na Israel.

Hali hiyo ni uchuro kwa Israel na inakera kuisikia lakini ndio itakayoiondolea Israel kuwa kijogoo wa mashariki ya kati.
Mtazamo huo tayari umeishtua Israel ambapo tangu juzi imekuwa ikipiga na kuharibu mali na miundombinu ya kijeshi ya Syria jambo ambalo tangu siku ya mwanzo Aljolani amelikataza na kulilani kufanywa na wapiganaji wake.
Haya maneno yote kasema Ayatollah au Hassan Nassarrah,au Yahya Sinwar?
 
Back
Top Bottom