Jaman wakuu nmekuw nkiwaza san hili suala la wa2 kuiponda UDOM kw mda mref, coz utackia ooh mara hamna cjui;
1.maji hakuna
2.walimu vilaza
3.wanafeli san
4.chuo cha CCM
5.vilaza
6.wanafunz wanapewa alama bure
7.wanajiuza
8.chuo cha kata
eban mi huw cielew kbs japo npo hapa UDOM , naomb mweny mawazo ya hekim na uelew wa " KWA NIN MAWE YOTE HAYA NI KWA UDOM TU?"?
Pliiiiz ! Naomb japo mitazamo ya kisomi na so malumbano!