Ryio
Member
- Dec 5, 2013
- 80
- 11
Jaman wakuu nmekuw nkiwaza san hili suala la wa2 kuiponda UDOM kw mda mref, coz utackia ooh mara hamna cjui;
1.maji hakuna
2.walimu vilaza
3.wanafeli san
4.chuo cha CCM
5.vilaza
6.wanafunz wanapewa alama bure
7.wanajiuza
8.chuo cha kata
eban mi huw cielew kbs japo npo hapa UDOM , naomb mweny mawazo ya hekim na uelew wa " KWA NIN MAWE YOTE HAYA NI KWA UDOM TU?"?
Pliiiiz ! Naomb japo mitazamo ya kisomi na so malumbano!
1.maji hakuna
2.walimu vilaza
3.wanafeli san
4.chuo cha CCM
5.vilaza
6.wanafunz wanapewa alama bure
7.wanajiuza
8.chuo cha kata
eban mi huw cielew kbs japo npo hapa UDOM , naomb mweny mawazo ya hekim na uelew wa " KWA NIN MAWE YOTE HAYA NI KWA UDOM TU?"?
Pliiiiz ! Naomb japo mitazamo ya kisomi na so malumbano!