Wanaoishi Vingunguti hapati kero ya harufu mbaya?

Wanaoishi Vingunguti hapati kero ya harufu mbaya?

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Huwa najiuliza Kila nikipita haya maeneo kuna harufu kali sana ambayo kama humu wezangu mshapita hayo maeneo mmeshuhudia huwa nafunga mpaka vioo vya gari lakini ngoma inapita mpaka ndani ya gari.

Hivi hawa wanaoishi ni binadamu wa kawaida kweli maana nashindwaga kuelewa hawa jamaa ni wa aina gani.

Na ukipita hapo wenyewe hawana habari yaani kama wapo London najiulizaga hii harufu naisikia Mimi tu wadau?
 
Vijana wa Vingunguti wabaya sana jamani. Yaani hawana haya wala soni usoni.
FB_IMG_17339075812642045.jpg
FB_IMG_17339075722758586.jpg
 
Pua zao zilishazoea hiyo harufu.kunasehemu kariakoo mtaa wa sikukuu na kariakoo Kuna chemba Huwa inatoa maji machafu Hadi mavi huonekana na ni mara Kwa mara lakini wamachinga wa pale wanaendelea na kazi zao na Wanakula chakula palepale.
 
Huwa najiuliza Kila nikipita haya maeneo kuna harufu kali sana ambayo kama humu wezangu mshapita hayo maeneo mmeshuhudia huwa nafunga mpaka vioo vya gari lakini ngoma inapita mpaka ndani ya gari.

Hivi hawa wanaoishi ni binadamu wa kawaida kweli maana nashindwaga kuelewa hawa jamaa ni wa aina gani.

Na ukipita hapo wenyewe hawana habari yaani kama wapo London najiulizaga hii harufu naisikia Mimi tu wadau?
Ushawahi kusikia kitu kinaitwa olfactory fatigue au Odor fatigue...
 
Pua zao zilishazoea hiyo harufu.kunasehemu kariakoo mtaa wa sikukuu na kariakoo Kuna chemba Huwa inatoa maji machafu Hadi mavi huonekana na ni mara Kwa mara lakini wamachinga wa pale wanaendelea na kazi zao na Wanakula chakula palepale.
Duuh mtu mweusi ni shida
 
Ni hali ya mtu kuzoea harufu flani hivi.. hata wewe ukikaa hapo vingunguti baada ya wiki kadhaa utaona kama harufu imepungua au hakuna kumbe umeiozea.. pua zako na ubongo wako unaona kama harufu Ya kawaida tu

Ushawah kwenda kwenye nyumba flan au chumba ukiingia unakuta kuna harufu flan unajiuliza wenyeji hawainusi hiyo harufu kumbe pua zao zishaizoea
 
Ni hali ya mtu kuzoea harufu flani hivi.. hata wewe ukikaa hapo vingunguti baada ya wiki kadhaa utaona kama harufu imepungua au hakuna kumbe umeiozea.. pua zako na ubongo wako unaona kama harufu Ya kawaida tu

Ushawah kwenda kwenye nyumba flan au chumba ukiingia unakuta kuna harufu flan unajiuliza wenyeji hawainusi hiyo harufu kumbe pua zao zishaizoea
Duuh kipengele aisee hiyo mizoga ya VINGUNGUTI sijui kama nitaizoea hata niishi miaka 100
 
Ni hali ya mtu kuzoea harufu flani hivi.. hata wewe ukikaa hapo vingunguti baada ya wiki kadhaa utaona kama harufu imepungua au hakuna kumbe umeiozea.. pua zako na ubongo wako unaona kama harufu Ya kawaida tu

Ushawah kwenda kwenye nyumba flan au chumba ukiingia unakuta kuna harufu flan unajiuliza wenyeji hawainusi hiyo harufu kumbe pua zao zishaizoea
Elimu ngazi ya o level kabisa hii, safi sana
 
Duuh kipengele aisee hiyo mizoga ya VINGUNGUTI sijui kama nitaizoea hata niishi miaka 100
Sio swala lako kaka Ni swala la kibaiolojia.. ndio mwili ulivyo una adapt mazingira.. kuna mji unaitwa rinconada peru uko futi 16,000 juu ya usawa wa bahari wewe ukienda siku za kwanza utapata shida ya upumuaji sababu ya mgandamizo wa hewa ila wakazi wameshazoea

Au kuna watu wanaitwa baju hao wanawinda samaki Na mikuki chini ya maji wanauwezo wa kukaa chini ya maji kwa average ya dk5 na zaidi maana toka wanazaliwa ndicho wanachokifanya mfumo wao wa upumuaji ume adapt.. trained diver hazidishi dk 4 au 5 akiwa kavu kavu
 
Sio swala lako kaka Ni swala la kibaiolojia.. ndio mwili ulivyo una adapt mazingira.. kuna mji unaitwa rinconada peru uko futi 16,000 juu ya usawa wa bahari wewe ukienda siku za kwanza utapata shida ya upumuaji sababu ya mgandamizo wa hewa ila wakazi wameshazoea

Au kuna watu wanaitwa baju hao wanawinda samaki Na mikuki chini ya maji wanauwezo wa kukaa chini ya maji kwa average ya dk5 na zaidi maana toka wanazaliwa ndicho wanachokifanya mfumo wao wa upumuaji ume adapt.. trained diver hazidishi dk 4 au 5 akiwa kavu kavu
Duuh noma sana
 
Pita pale shekilango soko la kuku unaweza kutapika kwa ile harufu.
 
Back
Top Bottom