Wanaoishi Vingunguti hapati kero ya harufu mbaya?

Wanaoishi Vingunguti hapati kero ya harufu mbaya?

Huwa najiuliza Kila nikipita haya maeneo kuna harufu kali sana ambayo kama humu wezangu mshapita hayo maeneo mmeshuhudia huwa nafunga mpaka vioo vya gari lakini ngoma inapita mpaka ndani ya gari.

Hivi hawa wanaoishi ni binadamu wa kawaida kweli maana nashindwaga kuelewa hawa jamaa ni wa aina gani.

Na ukipita hapo wenyewe hawana habari yaani kama wapo London najiulizaga hii harufu naisikia Mimi tu wadau?
Ni siku moja tu unakuwa umezoea harufu hiyo na kuwa sehemu ya maisha yako. Ni kama harufu ya mwili wako unavyoweza kuivumilia na si harufu ya mwingine
 
Huwa najiuliza Kila nikipita haya maeneo kuna harufu kali sana ambayo kama humu wezangu mshapita hayo maeneo mmeshuhudia huwa nafunga mpaka vioo vya gari lakini ngoma inapita mpaka ndani ya gari.

Hivi hawa wanaoishi ni binadamu wa kawaida kweli maana nashindwaga kuelewa hawa jamaa ni wa aina gani.

Na ukipita hapo wenyewe hawana habari yaani kama wapo London najiulizaga hii harufu naisikia Mimi tu wadau?

Kama harufu ya k ya demu wako, wewe ulishaizoea lakini akija kuchepuka kwangu mara ya kwanza nitaona ananuka kinoma lakini nikishaizoea ntaona kawaida tu
 
Huwa najiuliza Kila nikipita haya maeneo kuna harufu kali sana ambayo kama humu wezangu mshapita hayo maeneo mmeshuhudia huwa nafunga mpaka vioo vya gari lakini ngoma inapita mpaka ndani ya gari.

Hivi hawa wanaoishi ni binadamu wa kawaida kweli maana nashindwaga kuelewa hawa jamaa ni wa aina gani.

Na ukipita hapo wenyewe hawana habari yaani kama wapo London najiulizaga hii harufu naisikia Mimi tu wadau?
Mishipa ya pua za binaadamu zina automatiki sensa adijastimenti, yaani ukikaa kwenye harufu kwa muda mrefu pua zinaizoea harufu kisha kukufanya usiisikie hiyo harufu iliyopo.
 
Huwa najiuliza Kila nikipita haya maeneo kuna harufu kali sana ambayo kama humu wezangu mshapita hayo maeneo mmeshuhudia huwa nafunga mpaka vioo vya gari lakini ngoma inapita mpaka ndani ya gari.

Hivi hawa wanaoishi ni binadamu wa kawaida kweli maana nashindwaga kuelewa hawa jamaa ni wa aina gani.

Na ukipita hapo wenyewe hawana habari yaani kama wapo London najiulizaga hii harufu naisikia Mimi tu wadau?
Ni kama jenereta ikiwashwa kwa mara ya kwanza utasikia kelele ila muda unavyoenda husikii kelele, ikizima ndio unagundua kumbe kulikua na kelele
 
Back
Top Bottom