kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
1. Wahutu wanahisi kukaliwa kimababu, mkono wa chuma na Kagame, hivyo kikipigwa Rwanda sio wamoja
2. Uchumi wa Rwanda ni fragile
3. Population ndogo
All in all vita ni mbaya maana ukiachana na vifo na wakimbiI, hufanya nchi maskini kuwa maskini zaidi.
2. Uchumi wa Rwanda ni fragile
3. Population ndogo
All in all vita ni mbaya maana ukiachana na vifo na wakimbiI, hufanya nchi maskini kuwa maskini zaidi.