NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Umuhimu wa Mugalu ni kuzuia mabeki wasipande"hii lugha ya stricker kukaba mabeki wapenzi wa Mugalu mmeiokota wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba tumekosa magoli mangapi mpaka uwazie hiyo ya BM 3??
Sawa ila na huyu Morrison mambo ya kwapukwapu aache ameigharimu timu sasa hivi tungekuwa tunazungumza mengine kama asingekata move ya bao la pili
Tactics za mpira imeshabadilika jamanii..Mugalu ni bonge la striker! Anaji position vizuri! Tena kuliko hata Kagere! Kwenye maamuzi sasa!! 😌
Morrison naye sijui ameanza kupuliza ile bangi yake aliyokutwa nayo kipindi kile! Inashangaza kuona amecheza kwa dakika 90! Amepoteza mipira mingi, alikosa maamuzi sahihi wakati mwingi! Ana kipaji kikubwa, ila leo alichezo mchezo wa kitoto sana.
Simba! Get up stand up for next year's tournament, targeting for semi-final. You are in the right track! Congrats for what you have achieved!!
Kwendraa Utopolo wee. Kazi kuchambua soka wakaati hata mpira wa mchangani huweziHard Luck... huu ndiyo mpira!!
Dakiki 95
Fursa 37
Uambulio 3
Center forward mzito kama nondo (Magula)
Simba inaridhika mapema hawana uchu na ushambulizi yakini..
Na pengine ile move ingezaa bao la pili, huenda la tatu lisingepatikana maana mchezo ungebadilikaKwa nini wamesema hivyo? Kwa sababu ni yeye ndiye aliyekata move ya bao la pili, bila kufanya ile trick ya kipumbavu mpira ungeendelea na Simba walikuwa katika hatua ya mwisho ya kupata bao la pili kabla ya half-time. Inafanana kabisa na circuit ya umeme ukate kipande cha carbon basi mawasiliano mbele lazima yakatike na umeme uzimike. Matymaini ya Simba kusonga mbele lazima yangetimia kama Morrison asingesimamisha mpira na kupata kadi ya njano na kuanza kucheza akihofia kadi ya pili. Simba mjitafakari bahati ilikuwa upande wenu.
No nifundishe soka... hahaha chandimu..Kwendraa Utopolo wee. Kazi kuchambua soka wakaati hata mpira wa mchangani huwezi
Hilo tusi halinistui as long as na mama ako ni Ke.Dotaofabitch (SoB) !! Njoo nifundishe soka... hahaha chandimu..
Unambiwa ndo mchezaji anaongoza kwa kukaa na viongozi wengi na mara nyingi wakimsihiii aachane na utukutu wa apa na paleHuyu Morrison ni mtukutu na katika mechi fulani ya Simba katika league ya VODACOM alimshika linesmen bukta akapata kadi ya njano nusura mechi ile Simba wapate draw na mwadui.
Hebu Simba imtafutie wana saikologia kijana huyu ili akae sawa ni mchezaji mzuri, ni kweli mashambulizi mhimu yalisimama baada ya faulo ile ya Morrison na kadi juu
Majuto mjukuu ndugu yangu! Unaikumbuka ile mechi ya ...na Stella Abidjan hapa Dar miaka ile ya 90 ilivyonyong'onyesha watu! Iishia kujisifu kuwa tuliwalamba chenga sana na kuwazidi kimchezo lakini matokeo yakatusaliti! Vumilieni tu wapendwa hayupo mchawi hapo! Mpira ni mchezo wa makosa!Kwa nini wamesema hivyo? Kwa sababu ni yeye ndiye aliyekata move ya bao la pili, bila kufanya ile trick ya kipumbavu mpira ungeendelea na Simba walikuwa katika hatua ya mwisho ya kupata bao la pili kabla ya half-time.
Inafanana kabisa na circuit ya umeme ukate kipande cha carbon basi mawasiliano mbele lazima yakatike na umeme uzimike.
Matymaini ya Simba kusonga mbele lazima yangetimia kama Morrison asingesimamisha mpira na kupata kadi ya njano na kuanza kucheza akihofia kadi ya pili. Simba mjitafakari bahati ilikuwa upande wenu.
Vp na wachezaj waliokosa kufunga wakiwa kipa? Na wan kisa ni Morisson?Kwa nini wamesema hivyo? Kwa sababu ni yeye ndiye aliyekata move ya bao la pili, bila kufanya ile trick ya kipumbavu mpira ungeendelea na Simba walikuwa katika hatua ya mwisho ya kupata bao la pili kabla ya half-time.
Inafanana kabisa na circuit ya umeme ukate kipande cha carbon basi mawasiliano mbele lazima yakatike na umeme uzimike.
Matymaini ya Simba kusonga mbele lazima yangetimia kama Morrison asingesimamisha mpira na kupata kadi ya njano na kuanza kucheza akihofia kadi ya pili. Simba mjitafakari bahati ilikuwa upande wenu.
Naomba radhi za dhati... Samahani sana.Hilo tusi halinistui as long as na mama ako ni Ke.
Sawa mkuu yaishe.Naomba radhi za dhati... Samahani sana.
Pole... inshaAllah yameisha and God bless you.Sawa mkuu yaishe.