Wanaojua Kiingereza tu: Karibuni tuchati kwa Kiingereza

Wanaojua Kiingereza tu: Karibuni tuchati kwa Kiingereza

Naenjoy sana aisee tukichati kingereza hivi ,hapa kuna mtumishi mmoja namuonesha hizi charting namwambia hapa nachart na marafiki zangu wa England
Amebaki ameduwaa na kuona kuwa mimi si mwenziye ,changanya kingereza kinamsumbuaga ubongo leo nimeshatengeza story ya siku .

Oukey thanks friends ,ukija na uzi wa kifaransa msinisahau mniite ili niwaineshe mambo yangu
DahπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™Œ
 
Naenjoy sana aisee tukichati kingereza hivi ,hapa kuna mtumishi mmoja namuonesha hizi charting namwambia hapa nachart na marafiki zangu wa England
Amebaki ameduwaa na kuona kuwa mimi si mwenziye ,changanya kingereza kinamsumbuaga ubongo leo nimeshatengeza story ya siku .

Oukey thanks friends ,ukija na uzi wa kifaransa msinisahau mniite ili niwaineshe mambo yangu

a
Ahahah kweli Kabisa huyo jamaa anatamn kuongea ni kutokuwa na mazoea
 
Back
Top Bottom