Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Mi naijua. lukole ni sehemu walipokuwa wanaishi wakimbizi wa burundi, baada ya kuondoka ndo yale majengo wakayageuza na kuwa shule. kama vipi ntakupa namba ya tisha anayeishi pale kumnazi jirani na shule mchonge. mia
Please naomba msaada. je ni shule nzuri? Naomba kujua kuhusu shule hiyo.
Unasafirije kutoka dar kwenda huko?
Me ni form six nasoma pale kama vp nichek nikupe details za hapo ckul in deep...! +255762546166
Wanafunzi wa pale huwa wanageuzwa kuwa wake wa wanajeshi wa kambi ambayo iko pale pale.
Haya ni baadhi ya mahitaji kwa wanafunzi wa kike waliochaguliwa kwenye LUKOLE high school, Ngara. Kama kuna kitu kimepungua, tunaomba na wengine waongezee
A: Uniforms
1) Mashati jeupe mikono mirefu (2), V begani ya kitamba cha sketi
2) Skirt: dark blue, mbele rinda la boksi , isiwe fupi
3) Tie- dark blue
3) Black shoes (s pairs): vifupi
4) Soksi ndefu nyeupe (2 or 3 pairs)
5) 2 T-shirts( zinapatikana shule)
6) magauni 2 ya purple ya kushindia shule (aende nayo)
B: Vifaa vya michezo!
7) 2 T-shirts za green
8) Bukta ya Bluu
9) Rubber
10) Sweater la Zambarau (yanapatikana shule)
C: Michango
11) Ada 70,000), inaweza kulipwa hata nusu. Ilipwe
NMB acc named: Lukole Secondary school, capitation grant Acc no: 32101200054 (aende na bank slip)
12) Caution money 5,000
13) Kitambulisho 5,000
14) Furniture 15,000
15) Taaluma 10,000
16) Ulinzi 5,000
17) Matibabu 8,000
18) Nembo ya shule 4,000
19) Wapishi 5,000
D: Vifaa vya usafi:
20) Ndoo, beseni, fagio la chepeo, reki yenye mpini, jembe lenye mpini
E: Vifaa vya malazi
21) Godoro 2.5" x 6
22) Shuka 2 za Pink
23) Blanketi 1
F: Vifaa vya chakula
24) Sahani
25) Bakuli
26) Kijiko
27) Kikombe
28) Sabuni
29) Taulo
30) Picha passport size 4
ndugu, nimeongea na Mkuu wa shule pale, haya mahitaji mengine ni kumtumia hela then watoto wakachukulie kule kule ngara. Hata mimi binti yangu kapangwa pale HGE.
Suala la sijui wanajeshi, usipende kuamini ktk rumours aisee though nitaulizia coz Mie nimeoa ngara na nina ndugu zangu kuke watanisaidia kwa kiasi fulani.
ndugu, nimeongea na Mkuu wa shule pale, haya mahitaji mengine ni kumtumia hela then watoto wakachukulie kule kule ngara. Hata mimi binti yangu kapangwa pale HGE.
Suala la sijui wanajeshi, usipende kuamini ktk rumours aisee though nitaulizia coz Mie nimeoa ngara na nina ndugu zangu kuke watanisaidia kwa kiasi fulani.
Wanafunzi wa pale huwa wanageuzwa kuwa wake wa wanajeshi wa kambi ambayo iko pale pale.
Uzi wa zamani huu dada!acha uongo ww kama huijui hii shule piga chini kuliko kuongea vitu usivyo vijua