Haya ni baadhi ya mahitaji kwa wanafunzi wa kike waliochaguliwa kwenye LUKOLE high school, Ngara. Kama kuna kitu kimepungua, tunaomba na wengine waongezee
A: Uniforms
1) Mashati jeupe mikono mirefu (2), V begani ya kitamba cha sketi
2) Skirt: dark blue, mbele rinda la boksi , isiwe fupi
3) Tie- dark blue
3) Black shoes (s pairs): vifupi
4) Soksi ndefu nyeupe (2 or 3 pairs)
5) 2 T-shirts( zinapatikana shule)
6) magauni 2 ya purple ya kushindia shule (aende nayo)
B: Vifaa vya michezo!
7) 2 T-shirts za green
8) Bukta ya Bluu
9) Rubber
10) Sweater la Zambarau (yanapatikana shule)
C: Michango
11) Ada 70,000), inaweza kulipwa hata nusu. Ilipwe
NMB acc named: Lukole Secondary school, capitation grant Acc no: 32101200054 (aende na bank slip)
12) Caution money 5,000
13) Kitambulisho 5,000
14) Furniture 15,000
15) Taaluma 10,000
16) Ulinzi 5,000
17) Matibabu 8,000
18) Nembo ya shule 4,000
19) Wapishi 5,000
D: Vifaa vya usafi:
20) Ndoo, beseni, fagio la chepeo, reki yenye mpini, jembe lenye mpini
E: Vifaa vya malazi
21) Godoro 2.5" x 6
22) Shuka 2 za Pink
23) Blanketi 1
F: Vifaa vya chakula
24) Sahani
25) Bakuli
26) Kijiko
27) Kikombe
28) Sabuni
29) Taulo
30) Picha passport size 4