Wanaojua viwanja vya basketball Dar es Salaam

Ethan hunt

Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
20
Reaction score
8
Natumai muwazima
Mimi ni mgeni hapa dar, mchezo wangu ni mpira wa kikapu yaani sijiskii vizuri bila kucheza tatizo kubwa ni viwanja vilipo imekua mtihani kweli
Kama kunamwenye kujua viwanja vilipo tusaidiane wapenzi wa kikapu wenzangu
Nipo kigamboni vijibweni
 
Uliza ilipo ocean road,fuata hiyo barabara kama unaenda agha khan hospita upande wako wa kushoto,ni mita 200 toka ocean road hosoital kwa geti la baharini,
Spider!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…