Kuna watu ni wabishi sana kwamba haya mambo hayapo lakini utawakuta kanisani ama msikitini wakijinadi wao ni wakristo/waislam. Niseme tu kwamba hapa ni ishara ya moja kwa moja wapo kwenye dini kama kushabikia timu za mpira na wala hawajui elimu ya dini yao.
Mbaya zaidi hawanaga imani, maji yakizidi unga hawa uvumilivu, ndio huwa wakwanza kukimbilia kwa waganga wale matapeli wa kwenye matangazo ya nguzo.
Kwenye Biblia na Quran kote haya mambo yapo. Kwenye Biblia mfano mojawapo, wapo walioweza kuzigeuza fimbo zao ziwe nyoka kichawi zipambane na fimbo ya Musa.
Kwenye Qurani kuna hadithi kwamba Mtume Muhamad alipigwa kipapai ilibaki kuwa jumla jumla lakini alijinasua.
Mbaya zaidi hawanaga imani, maji yakizidi unga hawa uvumilivu, ndio huwa wakwanza kukimbilia kwa waganga wale matapeli wa kwenye matangazo ya nguzo.
Kwenye Biblia na Quran kote haya mambo yapo. Kwenye Biblia mfano mojawapo, wapo walioweza kuzigeuza fimbo zao ziwe nyoka kichawi zipambane na fimbo ya Musa.
Kwenye Qurani kuna hadithi kwamba Mtume Muhamad alipigwa kipapai ilibaki kuwa jumla jumla lakini alijinasua.