Wanaokufa ni wengi ila wanaojulikana na kurushwa katika mitandao ni wale wenye hadhi katika jamii

Wanaokufa ni wengi ila wanaojulikana na kurushwa katika mitandao ni wale wenye hadhi katika jamii

SOPINTO

Senior Member
Joined
Oct 19, 2020
Posts
155
Reaction score
387
Kumekuwa na vifo vingi sana vinavyotokea kuanzia wimbi hili Delta lianze ila wengi wanakufa lakini wachache ndio wanaorushwa katika mitandao ya kijamii , hii ni kutokana na wadhifa wa marehemu mwenyewe mfano marehemu alikuwa nani , alikuwa anafanya nini?

Uchumi wake na biashara zake kama ziligusa jamii , je alikuwa mwanasiasa au mkufunzi , vitu hivi kwasasa ndio vinafanya msiba wako usambae katika mitandao ya kijamii ila wanaokufa ni wengi sana.

Waziri wa afya katika ule mpango wa kutaja tafadhari awamu hii njoo na data za ukweli sio zile za kutengeneza .
 
Kiongozi, Delta ilianza lini? Mimi naona vifo vimeongezeka sana baada ya chanjo. Watu wamekosa kiongozi wa kuwaongoza katika mapambano. Hakuna kiongozi anayesema Tuombe Mungu na tujitahidi kufuata kanuni za Afya. Maneno yasiyotekelezwa wala kusimamiwa. Social distancing imebaki kwenye maneno, halafu raia wajipange wenyewe.

Hakuna compliance enforcement. Imekuwa kisisasa siasa tu. Mikutano ya Wapinzania wa kisiasa itasambaza corona. Misongamano kwenye vyombo vya usafiri, abiria watajiju. Mbio za mwenge hazina corona, mikutano ya wasanii na michezo mingine, haihusiki na mambo ya corona. Watu wanachanjwa chanjo waaanguka, badala ya kudig out ili kuwa na correct measures, utasikia, hii msiirushe popote, ikimaanisha "ulaghai wa 5G:,

Angelikuwepo mtu mmoja anayjali binadamu, bila shaka asingefanya siri madhara ya chanjo, asingeacha kushughulika na njia za kuwatibu walioathirika tayari kama ilivokuwa katika corona zilizopita, pamoj ana kusimamia utekelezaji wa kuosha mikono, distancing n.k.
Sasa hivi mtu akipandisha uzi unaoonyesha madhara makubwa ya chanjo na jinsi nchi zilizoanza "ambazo ndizo zinaigwa", vinaona mashaka makubwa kuhusu chanjo n.k., zinaondolewa, na kupigwa ban ii watu waendelee kuishi katika ujinga. Hii damu ya Watanzania nani atadaiwa?

Vifo vimeongezeka sana baada ya chanjo kama ilivoykuwa Uganda. Hapa kuna siri gani ambayo hawa madalali wanaijua na wanaificha?
NAOMBA MUNGU AOKOE WATU MASKINI NA WAJINGA WASIANGAMIZWE KWA HILA ZA GENGE DOGO LA KIMAFIA
 
Kuna video inasambaa jamaa ameishiwa nguvu wakati anainadi chanjo
 
Kiongozi, Delta ilianza lini? Mimi naona vifo vimeongezeka sana baada ya chanjo. Watu wamekosa kiongozi wa kuwaongoza katika mapambano. Hakuna kiongozi anayesema Tuombe Mungu na tujitahidi kufuata kanuni za Afya. Maneno yasiyotekelezwa wala kusimamiwa. Social distancing imebaki kwenye maneno, halafu raia wajipange wenyewe. Hakuna compliance enforcement. Imekuwa kisisasa siasa tu. Mikutano ya Wapinzania wa kisiasa itasambaza corona. Misongamano kwenye vyombo vya usafiri, abiria watajiju. Mbio za mwenge hazina corona, mikutano ya wasanii na michezo mingine, haihusiki na mambo ya corona. Watu wanachanjwa chanjo waaanguka, badala ya kudig out ili kuwa na correct measures, utasikia, hii msiirushe popote, ikimaanisha "ulaghai wa 5G:,

Angelikuwepo mtu mmoja anayjali binadamu, bila shaka asingefanya siri madhara ya chanjo, asingeacha kushughulika na njia za kuwatibu walioathirika tayari kama ilivokuwa katika corona zilizopita, pamoj ana kusimamia utekelezaji wa kuosha mikono, distancing n.k.
Sasa hivi mtu akipandisha uzi unaoonyesha madhara makubwa ya chanjo na jinsi nchi zilizoanza "ambazo ndizo zinaigwa", vinaona mashaka makubwa kuhusu chanjo n.k., zinaondolewa, na kupigwa ban ii watu waendelee kuishi katika ujinga. Hii damu ya Watanzania nani atadaiwa?

Vifo vimeongezeka sana baada ya chanjo kama ilivoykuwa Uganda. Hapa kuna siri gani ambayo hawa madalali wanaijua na wanaificha?
NAOMBA MUNGU AOKOE WATU MASKINI NA WAJINGA WASIANGAMIZWE KWA HILA ZA GENGE DOGO LA KIMAFIA
Una ushahidi UPI wewe Gwajiboy uliyejificha huku..
 
Ombaomba wa madukani afariki dunia ndio unataka kusikia?? “Huna kitu hujulikani na mtu”


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kumekuwa na vifo vingi sana vinavyotokea kuanzia wimbi hili Delta lianze ila wengi wanakufa lakini wachache ndio wanaorushwa katika mitandao ya kijamii , hii ni kutokana na wadhifa wa marehemu mwenyewe mfano marehemu alikuwa nani , alikuwa anafanya nini? uchumi wake na biashara zake kama ziligusa jamii , je alikuwa mwanasiasa au mkufunzi , vitu hivi kwasasa ndio vinafanya msiba wako usambae katika mitandao ya kijamii ila wanaokufa ni wengi sana.

Waziri wa afya katika ule mpango wa kutaja tafadhari awamu hii njoo na data za ukweli sio zile za kutengeneza .
Umechanjwa??😎😎
 
Kumekuwa na vifo vingi sana vinavyotokea kuanzia wimbi hili Delta lianze ila wengi wanakufa lakini wachache ndio wanaorushwa katika mitandao ya kijamii , hii ni kutokana na wadhifa wa marehemu mwenyewe mfano marehemu alikuwa nani , alikuwa anafanya nini? uchumi wake na biashara zake kama ziligusa jamii , je alikuwa mwanasiasa au mkufunzi , vitu hivi kwasasa ndio vinafanya msiba wako usambae katika mitandao ya kijamii ila wanaokufa ni wengi sana.

Waziri wa afya katika ule mpango wa kutaja tafadhari awamu hii njoo na data za ukweli sio zile za kutengeneza .
Hii ni dhambi ya kupuuza mbinu za asili za kulambana na corona
 
Kufa peke yako ulilyataka. Pumbvu tena kaa mbali na mi mi si saizi yako. Mbweha, hivi husikii kelelel za station zingine kwenye hilo bichwa boga lako? Mbweha
Tulia wewe mfuasi wa Gwajima, wewe ni mtoto mdogo tu, wewe unaogopa kufa? Au siku hizi hakuna ufufuo hapo ubungo kwenye mahema yenu.Bladfaken wewe.
 
Back
Top Bottom