Wanaokuja kuishi Dar wapewe semina elekezi

waondolewe haraka bila kisingizio chochote umasikini isiwe kigezo cha kuvunja sheria na taratibu za nchi
 
Tuishi kama wanyama kisa wewe unasaka tonge? Gharama kubwa zinatumika kujenga miundombinu halafu watu kiholelaholela wanaitumia kwa matumizi ambayo hayajakusudiwa.

Mji ukipangika vizuri wote tutafaidika na tutaishi kwa ustaarabu.
 
Mijitu ya bara haina ustaarabu
 
Nilichelewa kuja Dar ila sio mbaya sahivi vichochoro na mishe mishe nazijua. Mgeni uko Posta na Oysterbay uko.
 
Paris hawakupi semina elekezi kwa sababu wanajua ustaarabu wao na kwa kiasi kikubwa wageni wengi wanaenda huko na kuuheshimu.
 
Kuna Mkuu WA wilaya anaitwa Herri James naye anashiriki kuwakingia kifua Hawa watu
 
Kwani ni lazima watu wengi waishi Dar kwa shida??? Baadhi mrudi huku mikoani tufanye pamoja ujasiamali pamoja muone tunavyolipia Kodi ya flemu au mabatini na getto Wala hatufikirii kupanga bidhaa barabarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…