Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Wakazi wa Dar es Salaam siku hizi naona wako katika hatari kubwa zaidi kwa sababu utakutana na akina mama wengi na mabeseni yao ya mihogo mibichi kichwani wakiwauzia watu kwa ajili ya kutafuna tu, ni hatari mno, alisema Lweno
Toka lini watanzania wakaheshimu tafiti za wanasayansi wao?Nimeonelea ni vyema ku-share hii habari na Wana-Jamii:
Source :HabariLeo | Wanaokula mihogo mibichi kupooza"Wakazi wa Dar es Salaam siku hizi naona wako katika hatari kubwa zaidi kwa sababu utakutana na akina mama wengi na mabeseni yao ya mihogo mibichi kichwani wakiwauzia watu kwa ajili ya kutafuna tu, ni hatari mno," alisema Lweno
Toka lini watafiti wa kitanzania wakatoa elimu? Sasa huyu anatishia tu "ni hatari mno"! Mimi mwanakijiji wa mpandangindo nitaelewa nini? na machapisho yao ni kwenye magazeti yanayosomwa mijini tu! Huku shamba tunashindia kutafuna mihogo mibichi-"Hiyo ndiyo imetukuza"Toka lini watanzania wakaheshimu tafiti za wanasayansi wao?
Toka lini watanzania wakaheshimu tafiti za wanasayansi wao?
Mkuu lakini tafiti zingine huwezi kuzikubali. Kuna sehemu hapa nchini watu wamekula mihogo miaka inde irudi na ni jamii ambazo hazisumbuliwi na kupooza.