Wanaolalamikia Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya tuongee hapa kidogo

Wanaolalamikia Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya tuongee hapa kidogo

Kuna watu wanalalamika kuhusu Uteuzi wa Ma DC. Hebu tuongea Kidogo hapa.....

Na Thadei Ole Mushi

1. Kuwa Mwigizaji au Msanii Hakukunyimi kuwa na sifa za kuwa Kiongozi. Tena Mwigizaji anaweza kuwa Kiongozi mzuri. Kinachoangalia ni uwezo wake katika kufanya vitu. Nilisema wiki Chache hapa zilizopita ni vigumu Sana kufanya vetting kwa vijana wanaosifia tu kuanzia January hadi December. Watu wanahoji why Nick wa Pili lakini niwaambie Nick ni msomi mzuri Sana na ameshaonyesha kuwa ana kitu Cha Ziada. Niliwahi kuandika kuhusu Chine's Mediocrity kuwa ili uwe Kiongozi angalau lazima uwe una kitu ulishakifanya Nick na Mchopanga kawapita wengi katika Hili tuwaacha tuwapime katika Majukumu.

2. Issue ya Uteuzi wa Rais ni kwamba Rais huangalia yupo comfortable kufanya Kazi na nani. Kumbukeni hawa ni wawakilishi wake..... Ukiachana na masuala ya Vetting Rais hupenda kufanya Kazi na watu anaoona kuwa hawa wanamfaa katika mazingira anayoyataka yeye. Hapa Kuna Utashi binafsi wa Rais.

3. Kuhusu Vijana wa Upinzani kuteuliwa ni jambo Zuri. Ni Kweli kwamba kwa siku za karibuni nimekuwa nikisema kuwa hawa vijana wanaotokea upande wa Pili wanapimika na Mara nyingi wapo Smart sana kuliko huku kwenye Jembe na Nyundo. Kitalu Chao kipo vizuri Sana na hapa ndipo HUWA nasema screening ya Vijana wa CCM Izingatie weledi sio Uchawa. Niliwahi kushauri kuwa CCM ianze kuchukua vijana walio machachari Kutoka vyuoni kama wanavyofanya Chadema badala ya kuwachukia na kuwaacha wakaangukia kwenye mikono ya Upinzani.

4. Kwa wale ambao BADO Wana matumaini ya kuwinda U DED na U DAS waanze kufikiria Kazi nyingine za kufanya. Ipo hivi Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa. Mama SAMIA anaonekana kuwa mfuasi mzuri wa kanuni na Sheria za nchi. Hivyo kama haupo kwenye Utumishi wa Umma hadi sasa maana yake U-DAS na U- DED ushakupita. Anza kutafuta Kazi nyingine ya kufanya kama Polepole anavyosema kwenye video hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

6. Angalau sasa Mwenyekiti na Katibu wa UVCCM wamegraduate toka ngazi Moja kwenda nyingine. Nimekuwa nikisema Sana kuhusu hii kumuiya kutoivisha viongozi watakaograduate kutoka level Moja kwenda nyingine nikifanya Comparison na Chama kikuu Cha Upinzani. Kwa Miaka kadhaa hawa vijana walikuwa baada ya Utumishi wao kwenye kumuiya ya Vijana walikuwa wakipoteza kabisa kwenye Ramani tunao kina Sadifa, Beno Malisa na wengineo hawajulikani wapo wapi huku kina Katambi, Henge na wengineo wakigraduate. Haya ni mafanikio ya UVCCM inaanza angalau kuivisha viongozi wa Kutumika maeneo mengine.

6. Naongea Sana kuhusu Self Actualization kwa vijana. Taifa letu limekumbwa na pepo la kila Mtu kutaka kuitwa Mheshimiwa. Kwa mataifa mengine hasa yaliyoendelea vijana hawana thinking hiyo. Wengi Wana matamanio ya kutimiza Ndoto zao kwenye biashara, Kwenye fani walizosomea nk. Kama vijana wakilielewa Hili wanaweza kulisaidia Taifa vizuri zaidi kuliko kuwaza kuteuliwa. Na hapa ndipo ninapotaka wengi wadondoshe dhana ya UCHAWA wavae uhalisia wao na waonyeshe Wana vitu Gani vya Ziada.

7. Ni makosa makubwa kudhani kigezo Cha kuteuliwa ni Kumtukana Mbowe na Chadema au ni kuimba nyimbo za kampeni Sana, au ni kusifia Tu. Kuna mambo mengine ya msingi ambayo huangaliwa. Ndio maana unaona sura Mpya ambazo hazijawahi kusema hata CCM hoyee mahali.

8. Soon tutaanza kuona Sura halisi za watu, Expectations sasa zimeisha kabisa. Akili zitarudi kwenye fuvu la kichwa. Lilikuwa ni Suala la Muda tu.

Tufundishane Adabu

Ole Mushi
0712702602.
Ishu wengi wanatokea dar
 
Mtangazaji wa radio kuwa mkuu wa wilaya POA, Ila asije akaongoza kikao cha kamati ya ulinzi ya wilaya kama anavyosoma taarifa ya habari.
 
Tuukuze uchumi wetu wandugu!
HAKUNA TEUZI KAMA KIJITEUA MWENYEWE KAMA CEO WA MRADI WAKO!
1624175660240.png
 
Kiukweli mama katika hili amechemka, ni miongoni mwa teuzi mbovu zaidi za maDC kuwahi kufanywa hapa Tz.

Yaani wilaya yenye wakazi wa kudumu zaidi ya Laki mbili, hivi rais anakosaje kuokota hata mtu mmoja miongoni mwao mwenye uzoefu, uadilifu, busara na rekodi nzuri kwa umma ili kuwatumia wananchi wenzake?

Yaani mama Samia anakwenda kuokota watu huko kwenye mitaa ya Dar na Twitter, waigizaji, malaya wa miss Tz, watangazaji, wasaliti wa siasa, makada wa CCM kwenda kuwaongoza wengine! Huku nikuwadharau watanzania.

Ni bora hata kumchukua mwalimu mkuu mzoefu na muadilifu wa shule ya msingi mojawapo katika wilaya husika kuwa DC wa wilaya hiyo hiyo kuliko kuokoteza watu popote hapa Tz kwa umaarufu nk.
 
Ningependa kuona nyuzi zenye kudai KATIBA mpya,zikiwa nyingi.Kuweni siliasi basi
 
Katiba ndo mwarobain ya yote ,teuzi za Rais zimekua nyingi MPAKA kichefuchefu, nafasi zingine mfano U - DC n.k zinafaa watu kuingia kwenye kinyanganyiro na wapigiwe kura au zikae kiutumishi ,mfano watendaji wa kata ,maafisa tarafa, hata wakurugenzi ina bidi ,maana ni nafasi zinazo gusa wananchi wa chini moja KWA moja ,

Sasa tz Rais anateua KWA mjibu wa katiba iliyopo MPAKA Basi , halikubaliki , unateuwa MPAKA unaondoka madarakani hata uliowateuwa humjui ata mmoja ,vituko sana
Kuna watu wanalalamika kuhusu Uteuzi wa Ma DC. Hebu tuongea Kidogo hapa.....

Na Thadei Ole Mushi

1. Kuwa Mwigizaji au Msanii Hakukunyimi kuwa na sifa za kuwa Kiongozi. Tena Mwigizaji anaweza kuwa Kiongozi mzuri. Kinachoangalia ni uwezo wake katika kufanya vitu. Nilisema wiki Chache hapa zilizopita ni vigumu Sana kufanya vetting kwa vijana wanaosifia tu kuanzia January hadi December. Watu wanahoji why Nick wa Pili lakini niwaambie Nick ni msomi mzuri Sana na ameshaonyesha kuwa ana kitu Cha Ziada. Niliwahi kuandika kuhusu Chine's Mediocrity kuwa ili uwe Kiongozi angalau lazima uwe una kitu ulishakifanya Nick na Mchopanga kawapita wengi katika Hili tuwaacha tuwapime katika Majukumu.

2. Issue ya Uteuzi wa Rais ni kwamba Rais huangalia yupo comfortable kufanya Kazi na nani. Kumbukeni hawa ni wawakilishi wake..... Ukiachana na masuala ya Vetting Rais hupenda kufanya Kazi na watu anaoona kuwa hawa wanamfaa katika mazingira anayoyataka yeye. Hapa Kuna Utashi binafsi wa Rais.

3. Kuhusu Vijana wa Upinzani kuteuliwa ni jambo Zuri. Ni Kweli kwamba kwa siku za karibuni nimekuwa nikisema kuwa hawa vijana wanaotokea upande wa Pili wanapimika na Mara nyingi wapo Smart sana kuliko huku kwenye Jembe na Nyundo. Kitalu Chao kipo vizuri Sana na hapa ndipo HUWA nasema screening ya Vijana wa CCM Izingatie weledi sio Uchawa. Niliwahi kushauri kuwa CCM ianze kuchukua vijana walio machachari Kutoka vyuoni kama wanavyofanya Chadema badala ya kuwachukia na kuwaacha wakaangukia kwenye mikono ya Upinzani.

4. Kwa wale ambao BADO Wana matumaini ya kuwinda U DED na U DAS waanze kufikiria Kazi nyingine za kufanya. Ipo hivi Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa. Mama SAMIA anaonekana kuwa mfuasi mzuri wa kanuni na Sheria za nchi. Hivyo kama haupo kwenye Utumishi wa Umma hadi sasa maana yake U-DAS na U- DED ushakupita. Anza kutafuta Kazi nyingine ya kufanya kama Polepole anavyosema kwenye video hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

6. Angalau sasa Mwenyekiti na Katibu wa UVCCM wamegraduate toka ngazi Moja kwenda nyingine. Nimekuwa nikisema Sana kuhusu hii kumuiya kutoivisha viongozi watakaograduate kutoka level Moja kwenda nyingine nikifanya Comparison na Chama kikuu Cha Upinzani. Kwa Miaka kadhaa hawa vijana walikuwa baada ya Utumishi wao kwenye kumuiya ya Vijana walikuwa wakipoteza kabisa kwenye Ramani tunao kina Sadifa, Beno Malisa na wengineo hawajulikani wapo wapi huku kina Katambi, Henge na wengineo wakigraduate. Haya ni mafanikio ya UVCCM inaanza angalau kuivisha viongozi wa Kutumika maeneo mengine.

6. Naongea Sana kuhusu Self Actualization kwa vijana. Taifa letu limekumbwa na pepo la kila Mtu kutaka kuitwa Mheshimiwa. Kwa mataifa mengine hasa yaliyoendelea vijana hawana thinking hiyo. Wengi Wana matamanio ya kutimiza Ndoto zao kwenye biashara, Kwenye fani walizosomea nk. Kama vijana wakilielewa Hili wanaweza kulisaidia Taifa vizuri zaidi kuliko kuwaza kuteuliwa. Na hapa ndipo ninapotaka wengi wadondoshe dhana ya UCHAWA wavae uhalisia wao na waonyeshe Wana vitu Gani vya Ziada.

7. Ni makosa makubwa kudhani kigezo Cha kuteuliwa ni Kumtukana Mbowe na Chadema au ni kuimba nyimbo za kampeni Sana, au ni kusifia Tu. Kuna mambo mengine ya msingi ambayo huangaliwa. Ndio maana unaona sura Mpya ambazo hazijawahi kusema hata CCM hoyee mahali.

8. Soon tutaanza kuona Sura halisi za watu, Expectations sasa zimeisha kabisa. Akili zitarudi kwenye fuvu la kichwa. Lilikuwa ni Suala la Muda tu.

Tufundishane Adabu

Ole Mushi
0712702602.
 
Wakuu wa shule, maafisa elimu, madaktari, ma afisa kilimo wangapi wamepata uteuzi? Au hao nafasi yao ni kuongozwa na tu form IV twenye certificate ya journalism na wakimbiza mwenge
 
Kwa cheo cha Mkuu wa Wilaya hata Stive Nyerere sawa tu. Taabu kwa DED hapo ndo nasubiri kuona uhalisia na mwelekeo wa serikali. Humo nikiwakuta kina JB nitajua tumepigwa.
Jmha ha ha ha
 
Kuna watu wanalalamika kuhusu Uteuzi wa Ma DC. Hebu tuongea Kidogo hapa.....

Na Thadei Ole Mushi

1. Kuwa Mwigizaji au Msanii Hakukunyimi kuwa na sifa za kuwa Kiongozi. Tena Mwigizaji anaweza kuwa Kiongozi mzuri. Kinachoangalia ni uwezo wake katika kufanya vitu. Nilisema wiki Chache hapa zilizopita ni vigumu Sana kufanya vetting kwa vijana wanaosifia tu kuanzia January hadi December. Watu wanahoji why Nick wa Pili lakini niwaambie Nick ni msomi mzuri Sana na ameshaonyesha kuwa ana kitu Cha Ziada. Niliwahi kuandika kuhusu Chine's Mediocrity kuwa ili uwe Kiongozi angalau lazima uwe una kitu ulishakifanya Nick na Mchopanga kawapita wengi katika Hili tuwaacha tuwapime katika Majukumu.

2. Issue ya Uteuzi wa Rais ni kwamba Rais huangalia yupo comfortable kufanya Kazi na nani. Kumbukeni hawa ni wawakilishi wake..... Ukiachana na masuala ya Vetting Rais hupenda kufanya Kazi na watu anaoona kuwa hawa wanamfaa katika mazingira anayoyataka yeye. Hapa Kuna Utashi binafsi wa Rais.

3. Kuhusu Vijana wa Upinzani kuteuliwa ni jambo Zuri. Ni Kweli kwamba kwa siku za karibuni nimekuwa nikisema kuwa hawa vijana wanaotokea upande wa Pili wanapimika na Mara nyingi wapo Smart sana kuliko huku kwenye Jembe na Nyundo. Kitalu Chao kipo vizuri Sana na hapa ndipo HUWA nasema screening ya Vijana wa CCM Izingatie weledi sio Uchawa. Niliwahi kushauri kuwa CCM ianze kuchukua vijana walio machachari Kutoka vyuoni kama wanavyofanya Chadema badala ya kuwachukia na kuwaacha wakaangukia kwenye mikono ya Upinzani.

4. Kwa wale ambao BADO Wana matumaini ya kuwinda U DED na U DAS waanze kufikiria Kazi nyingine za kufanya. Ipo hivi Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa. Mama SAMIA anaonekana kuwa mfuasi mzuri wa kanuni na Sheria za nchi. Hivyo kama haupo kwenye Utumishi wa Umma hadi sasa maana yake U-DAS na U- DED ushakupita. Anza kutafuta Kazi nyingine ya kufanya kama Polepole anavyosema kwenye video hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

6. Angalau sasa Mwenyekiti na Katibu wa UVCCM wamegraduate toka ngazi Moja kwenda nyingine. Nimekuwa nikisema Sana kuhusu hii kumuiya kutoivisha viongozi watakaograduate kutoka level Moja kwenda nyingine nikifanya Comparison na Chama kikuu Cha Upinzani. Kwa Miaka kadhaa hawa vijana walikuwa baada ya Utumishi wao kwenye kumuiya ya Vijana walikuwa wakipoteza kabisa kwenye Ramani tunao kina Sadifa, Beno Malisa na wengineo hawajulikani wapo wapi huku kina Katambi, Henge na wengineo wakigraduate. Haya ni mafanikio ya UVCCM inaanza angalau kuivisha viongozi wa Kutumika maeneo mengine.

6. Naongea Sana kuhusu Self Actualization kwa vijana. Taifa letu limekumbwa na pepo la kila Mtu kutaka kuitwa Mheshimiwa. Kwa mataifa mengine hasa yaliyoendelea vijana hawana thinking hiyo. Wengi Wana matamanio ya kutimiza Ndoto zao kwenye biashara, Kwenye fani walizosomea nk. Kama vijana wakilielewa Hili wanaweza kulisaidia Taifa vizuri zaidi kuliko kuwaza kuteuliwa. Na hapa ndipo ninapotaka wengi wadondoshe dhana ya UCHAWA wavae uhalisia wao na waonyeshe Wana vitu Gani vya Ziada.

7. Ni makosa makubwa kudhani kigezo Cha kuteuliwa ni Kumtukana Mbowe na Chadema au ni kuimba nyimbo za kampeni Sana, au ni kusifia Tu. Kuna mambo mengine ya msingi ambayo huangaliwa. Ndio maana unaona sura Mpya ambazo hazijawahi kusema hata CCM hoyee mahali.

8. Soon tutaanza kuona Sura halisi za watu, Expectations sasa zimeisha kabisa. Akili zitarudi kwenye fuvu la kichwa. Lilikuwa ni Suala la Muda tu.

Tufundishane Adabu

Ole Mushi
0712702602.
aisee umewachana Thadei. Watakuchukia sana.
 
Wakuu wa shule, maafisa elimu, madaktari, ma afisa kilimo wangapi wamepata uteuzi? Au hao nafasi yao ni kuongozwa na tu form IV twenye certificate ya journalism na wakimbiza mwenge
ila hili nalo. Kutokana na uzoefu nchi yetu imezidi kuporomoka ikiwa mikononi mwa hao wenye elimu na weledi. Ngoja mama ajaribu nje ya mipaka hiyo.
 
Maisha ya kutumwa na kuelekezwa kila muda ndio kitu sipendi nataka kutumia brain yangu kufanya maamuzi na kazi bila
Kuwa makini nakauli zako. Niki wa pili aliongea na kuchonga sana zaidi ya haya. Yako wapi sasa?
 
Daah I support CCM Ila sio Kwa kutuletea mtu kama mchopanga , Niki wa pili na Basila Mwanukuzi,

Jamani inamaana huko mitaani hakuna watu competent??

No wonder why nchi yetu ni masikini mwaka wa sitini huu,

Maana hatuna viongozi wenye ubunifu wa kutatua changamoto zetu.

Inasikitisha mno.
 
Hii nchi nazani baada ya Nyerere hatujawahi tena pata kiongozi seriouse, tuna bahati Mbaya mno tofauti na nchi zingine
The grass are always greener on the other side! Hata hao "nchi zingine" wanaona bora kwetu!
 
Back
Top Bottom