Wanaomaliza vyuo vikuu kipindi hiki cha awamu ya tano mpaka nawaonea huruma. Ajira zote zimezimwa kana kwamba nchi imesimama

Ajira nzito ya kupost jf?
Ungekuwa nayo Wala usingekuja humu kutia huruma
Hamna huruma hapa nawatetea wanaonyanyaswa kipindi hiki Cha uongozi usioeleweka na Nina ameuweka pale Kama vile umejiweka wenyewe. Government is for the people not for its own sake.
 
Serikali haiwezi fanya huo ujinga wa kuajiri kila Mtu.
Wewe baki humu kulialia tu, muda ukifika nenda mezani utakuta shemeji kishakutafutia chakula

Kama haiwezi kufanya ujinga,iendelee tu na ujinga wake wa kupoteza hela za walipa kodi kusomesha wasiokua productive baadae...stupid government
 
Umesoma upate maarifa, maarifa uyatumie kutatatua matatzo na uish vzr, Kama ulikuw unasoma kujibu mitihan it's up to you ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ JPM anarekebisha mambo yakae poa so lazma watu walie ili wajao(hata 2030............... Waanze kufaid matunda
 
Ona Sasa, Mimi ambae Sina hoja silalamiki Wala kulialia kuajiriwa na serikali. Napambana napata pesa nayamudu maisha vizuri tu.
Nahitaji kukusaidia, nitumie mawasiliano yako pm
 
Serikali haiwezi fanya huo ujinga wa kuajiri kila Mtu.
Wewe baki humu kulialia tu, muda ukifika nenda mezani utakuta shemeji kishakutafutia chakula
Mbona huna akili wewe. Hatujasema iajiri kila mtu Bali iangalie demands iajiri kutokana na mahitaji. Sasa hivi walimu wanahitajika Sana kila siku wanastaafu na kufa na madaktari pia lakini serikali inapiga Dana Dana tu na kudanganya Uma. Wagonjwa wanakufa huku hamna madaktari kabisa
 
Hebu yataje hayo mambo anayorekebisha?
Umesoma upate maarifa, maarifa uyatumie kutatatua matatzo na uish vzr, Kama ulikuw unasoma kujibu mitihan it's up to you ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ JPM anarekebisha mambo yakae poa so lazma watu walie ili wajao(hata 2030............... Waanze kufaid matunda
 
Hamna huruma hapa nawatetea wanaonyanyaswa kipindi hiki Cha uongozi usioeleweka na Nina ameuweka pale Kama vile umejiweka wenyewe. Government is for the people not for its own sake.
People si ndio sisi? Hatujakata tamaa Kama wewe
 
Umesoma upate maarifa, maarifa uyatumie kutatatua matatzo na uish vzr, Kama ulikuw unasoma kujibu mitihan it's up to you ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ JPM anarekebisha mambo yakae poa so lazma watu walie ili wajao(hata 2030............... Waanze kufaid matunda

MNHHHH inamaana Wote wasio na ajira sasa hivi walikua wanasomea mitihani?? eti JPM anarekebisha mambo???ya kujenga Chato au??
 
Niseme kwa serikali iliyopo sera zao hazijakaa sawa kwenye issue ya private sectors.
Sera za kipind hiki zinaumiza private sectors hata kupelekea kampuni nyingi kufunga.

Tatizo maamuzi yao ni political influenced.. na hii ni sumu mbaya sana
 
Watu
Kama haiwezi kufanya ujinga,iendelee tu na ujinga wake wa kupoteza hela za walipa kodi kusomesha wasiokua productive baadae...stupid government
Mna hasira na government, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wapi mlikubaliana mambo ya kuajiliana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, that's why JPM anajenga veta nyingi watu wasome productive programs, maana Kuna degree holders weng Tz hawajilik( Yan hana knowledge na alichokisoma, na tatzo syo mitaala n uzembe wa kujisomea) afu haohao ndo wanachagua Kaz๐Ÿ˜‚
 
Ona Sasa, Mimi ambae Sina hoja silalamiki Wala kulialia kuajiriwa na serikali. Napambana napata pesa nayamudu maisha vizuri tu.
Nahitaji kukusaidia, nitumie mawasiliano yako pm

Weka pale tangazo la kutaka kuwasaidia watu ajira, hizo PM utakazopata zikufungue akili, unaleta mzaha kwa maisha ya watu...๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜ก
 
Mbona veta wanahangaika mtaani. Sema jpm no failure haijawahi kutokea Africa. He is a bogus president ever
 
MNHHHH inamaana Wote wasio na ajira sasa hivi walikua wanasomea mitihani?? eti JPM anarekebisha mambo???ya kujenga Chato au??
Assumption tuu, Kama mtu una IQ more than ulowaacha primary, secondary, + waliodisco chuo, means hata kitaa ilibid uwe na uwezo wa kuchanganua fursa kuwzid, sasa mitaan ndo hvo fursa kibao but STD 7 ndo wanaziona afu degree holder unatoa macho, tukuemeweje sasa, ๐Ÿค”
 
Kumbe una stress za uchaguzi? Mimi sipo huko
Sitakuja kuilaumu serikali kuhusu ajira kwa kuwa nimepewa akili nikaongezea na kusoma.
Wewe endelea kulialia tu umri unasogea
Una akiri au ni ubinafsi tu. Ukipata kidogo msaidie na mwenzi. Mass kubwa ya graduates are suffering because of this awkward regime ndo hao tunawapigania. Hatujipiganii sisi
 
We unaongea Kama umekatwa kichwa. Maisha hayana uhusiano na kusoma. Mbona maprof siyo matajiri ispokuwa bakhresa ambaye hata la nne hana
 
Private sectors Zenyewe zinazo survive sasa kwa wingi ni zile zilizoanzishwa kitambo sana,
Investors wanapitia changamoto kubwa sana, sera za uwekezaji kandamizi, pato la Mtanzania Mmoja Mmoja ni dogo sna,wahitaji wameongezeka,
Kodi kandamizi wafanya biashara wengi wameshindwa kuzimudu,biashara kibao zimefungwa,
Mzunguko wa ela umeshuka sana,alisema matajiri wataishi kama mashetani! Je Mtanzania wa hali ya chini ataishije?
Bado anatumia mabavu kuendesha serikali, bado haeshimu mama zetu,Ata iyo miundombinu uchwara anaifanya kwa upendeleo,
Kwa kweli Nnchi imemshinda,
Amalize muda wake aachie ngazi.
 
Umeona ulivyokuwa juha? Sasa Kama huko mbele wanabembeleza watu kwenda kufanya kazi iweje uje ulielie humu kuwa HAKUNA ajira?
Kwako wewe na akili zako nitakubali kuwa juha, sasa wewe pisi kali unateseka nini watu wakitaka kwenda nje. Kama mtu anataka kwenda nje kutafuta kazi, iweje unamkataza kisha unadai analialia humu. Ebu rudisha remote kwa shemeji, ila kwanza badili hiyo channel ya makatuni uliyokuwa unatazama.
 
Veta anayehangaika mitaan n Nan, assume amesoma installation ya umeme majumban kwamba amekosa tenda hata ya 50+ per week, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ labda naye huyo n jipu alisomea mtihan๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mbona veta wanahangaika mtaani. Sema jpm no failure haijawahi kutokea Africa. He is a bogus president ever
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ