Wanaomaliza vyuo Vikuu Wanaajirika? Wanaweza kujiajiri?

Wanaomaliza vyuo Vikuu Wanaajirika? Wanaweza kujiajiri?

educator2025

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
395
Reaction score
455
Nimekuwa nikijiuliza suala hili mara nyingi unamkuta graduate wa Chuo kikuu amemaliza na anaishia kulalamika tu kuwa hana kazi. Swali ni kuwa wanafunz hawa wana sifa za kuaji
 
Nimekuwa nikijiuliza suala hili mara nyingi unamkuta graduate wa Chuo kikuu amemaliza na anaishia kulalamika tu kuwa hana kazi. Swali ni kuwa wanafunz hawa wana sifa za kuaji
aiseh we kweli ni jinga sana!
 
Nimekuwa nikijiuliza suala hili mara nyingi unamkuta graduate wa Chuo kikuu amemaliza na anaishia kulalamika tu kuwa hana kazi. Swali ni kuwa wanafunz hawa wana sifa za kuaji

Kweli ww utaelimika 2025!!
 
educator2025 ana point kwenye mada yake acheni kum-crash bila kujibu hoja yake," typing error/spelling omission" isiwe sababu ya kuficha ukweli graduates wengi wamebaki na vyeti na picha za Graduation na MALALAMIKO tu, wengi wakipewa nafasi hata ya internship wanaishia kwenye facebook, kuchat kwenye Whatsapp, Instagram na kutongozana Kazi hawafanyi. Kazi si kuwa na cheti tu bali ni pamoja na DISCIPLINE, COMMITTED na ATTITUDE nzuri katika kazi. Pia kuwa tayari kujifunza kwa waliokutangulia
 
Wengi wao hawaajiriki hata wale wachache wanaoajiriwa huishia kulalamika na kusimuliana habari za tamthilia, na umbea wa kwenye blogu za bongo pamoja na kushinda Facebook, instagram, whatsapp. Wakina dada huishia kutembea na ma-boss/ wenye mishahara minono. Nina mfano wa mabinti walioajiriwa kwenye benk 2 za hapa bongo BARCLAYS na STANBIC badala ya kupiga kazi wamekaa kujigongesha kwa maboss. Hata ATCL wadada wengi hujipitisha kwa ma-pilot ili wawe wapenzi wao. INASIKITISHA.
 
basi ajirini walioishia darasa la saba.
 
Kuliko mwajiri aajiri graduate mwenye attitude ni bora kuajiri hata form 4 leaver na ukamfundisha kazi taratiibu yaani hawa jamaa wanaomaliza Mzumbe wana tabu hasa. Kazi hawafanyi ila anakutajia mshahara million 4.
 
Back
Top Bottom