TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Mungu anamjua Mwenyekiti wa BAVICHA AJAYE
umeshalewa mbege tayari
Acha uongo,Khaa!! Mida8 yuko vizuri pia namkubali sana tu. IIla baba yake ni msukuma.
Hiyo ndio CV tosha ukiwa cdm
Kwa upeo wako huwezi andika tofautiUmeshitukia eeeh,ndio mida eight huyu huyu ati anakuja kivingine
Team Ben Saanane Tuko pamoja huyu jamaa ni kamanda kweli kweli
Tupo pamoja na Ben
Bravo makamanda
Ben Yuko poa sana.
Team Ben...