Wanaomchafua Rais Samia mitandaoni kwamba kamuambukiza Makamu wa Rais wa Marekani Corona wachukuliwe hatua

Wanaomchafua Rais Samia mitandaoni kwamba kamuambukiza Makamu wa Rais wa Marekani Corona wachukuliwe hatua

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Sasa dharau kwa mh.Rais wa JMT ,Bibi Samia Suluhu Hassan zimevuka mipaka.

Mh.Rais akiwa ziarani mkoa wa Arusha amelalamikia watu ktk mitandao wakimtuhumu kwa kumuambukiza virus vya Corona makama wa rais wa nchi ya Marekani Bibi Kamala Harris alipokutana naye alipokwenda Marekani kwa ziara ya uzinduzi wa filamu ya Royal Tour.

Yeye mwenyewe amesema hana Corona yuko salama na vigumu kupata Corona.


Mamlaka husika ziwachukulie hatua watu wote waliohusika na matumizi mabaya ya mta dao kwa kupotosha umma kwa uzushi huo.

Mbona kipindi cha rais Hayati John Magufuli watu waliotumia
vibaya mitandao walichuliwa hatua?
 
Sasa dharau kwa mh.Rais wa JMT ,Bibi Samia Suluhu Hassan zimevuka mipaka.

Mh.Rais akiwa ziarani mkoa wa Arusha amelalamikia watu ktk mitandao wakimtuhumu kwa kumuambukiza virus vya Corona makama wa rais wa nchi ya Marekani Bibi Kamala Harris alipokutana naye alipokwenda Marekani kwa ziara ya uzinduzi wa filamu ya Royal Tour.

Yeye mwenyewe amesema hana Corona yuko salama na vigumu kupata Corona.


Mamlaka husika ziwachukulie hatua watu wote waliohusika na matumizi mabaya ya mta dao kwa kupotosha umma kwa uzushi huo.

Mbona kipindi cha rais Hayati John Magufuli watu waliotumia
vibaya mitandao walichuliwa hatua?
Tuwekee orodha ya wanaomchafua.
 
yeye kasema mwenzake kafa kwa corona,ni kweli hata yeye anayo maana alikuww makamu wa rais.
Acheni chuki kwa mama Samia. Hajamkosea yeyote anatawala kwa utu. Na kikubwa mbowe katuasa tumuunge mkono na tumpende.
 
Sasa dharau kwa mh.Rais wa JMT ,Bibi Samia Suluhu Hassan zimevuka mipaka.

Mh.Rais akiwa ziarani mkoa wa Arusha amelalamikia watu ktk mitandao wakimtuhumu kwa kumuambukiza virus vya Corona makama wa rais wa nchi ya Marekani Bibi Kamala Harris alipokutana naye alipokwenda Marekani kwa ziara ya uzinduzi wa filamu ya Royal Tour.

Yeye mwenyewe amesema hana Corona yuko salama na vigumu kupata Corona.


Mamlaka husika ziwachukulie hatua watu wote waliohusika na matumizi mabaya ya mta dao kwa kupotosha umma kwa uzushi huo.

Mbona kipindi cha rais Hayati John Magufuli watu waliotumia
vibaya mitandao walichuliwa hatua?
mamlaka zitaanza na wewe unaleta hisia zisizo kuwepo. Harison wameonana kama leo kesho ametangaza ana corona hiyo ni ya mchongo.

Kama ni vyombo vya dola inabidi vianze na wewe unaleta hisia za uchochezi
 
Serikali idhibiti haya kwa vitendo kwa sababu zile account za mitandao ziliotukana serikali na rais JPM zimegeuka kusupport serikali na serikali inaziangalia na hata imefikia rais kuwekwa karibu na Mange Kimange mtu ambaye alishiriki kuitukana ,CCM serikali na viongozi...watu wanachanganywa na hili..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani watu kusema amemuambukiza ni kosa??. Mbona yeye alisema magufuli alikufa kwa korona kwahiyo nae ashitakiwe?. Acha ujipendekezi wa kipuuzi!!
 
Back
Top Bottom