Wanaomchukia Manara wanaumia zaidi kuliko Manara mwenyewe anavyoumia kuchukiwa na wengi

Wanaomchukia Manara wanaumia zaidi kuliko Manara mwenyewe anavyoumia kuchukiwa na wengi

kaligopelelo

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
2,832
Reaction score
4,070
Majeneza fc labda nikusaidieni juu ya jambo hili huenda mkapoza nyoyo zenu kidogo.

Huyu Manara ni kisu mlichokitengeneza wenyewe Leo kinawakata.
Hivi alivyo Manara ndivyo alivyo tokea zamani enzi hizo anakabiliana na Jerry Muro mheshimiwa Sasa hivi.
Jerry Muro alikuwa msemaji wa mpira pekee ambaye alikuwa na uwezo wa kukabiliana na Manara ipasavyo.
Kipindi hicho alikuwa anaisemea Simba wengi wenu alikuwa kama shujaa wenu,hasa kipindi ambacho Manji amejitolea kuteketeza pesa zake Kwa ajili ya yanga. Nadhani wanasimba kumbukumbu mnayo kwasababu makombe mlikuwa mnayasikia tu na kuyaona Kwa wenzenu.

Manara huyu ndo alikuwa anachukiwa zaidi na wanayanga Kwa maneno yake ya shombo,jeuri na kebehi kupitiliza, wanasimba mlikuwa mnafurahi tu hasa yale majina ambayo alikuwa anawaita Yanga,kama vile utopolo,kwasukwasu,vyura au kidimbwi n.k

Leo hii kutokana na yaliyotokea baina ya Manara na waajiri wake wa zamani ikapelekea yaliyopelekea,mara Manara ndio msemaji wa Yanga, nadhani ni mwajiriwa na hii ni sehemu ya ajira mambo ya mapenzi tuyaweke kando. Kwasababu inawezekana ikawa Manara ana mapenzi ya dhati be Kwa Simba lakini pale Yanga ni kibaruani kwake.

Anachokifanya Manara Leo hii ni kile kile alichokifanya akiwa Simba na akapendwa na wanasimba wengi.
Kama ilivyokuwa Kwa wanasimba na wanayanga hivyo hivyo wanampenda Manara hasa in kutokana na mashambulizi yake Kwa wanasimba.

Ninachowakumbusha wanasimba ni kuwa wavumilivu,KISU HIKI WAMEKITENGENEZA WENYEWE.
 
Majeneza fc labda nikusaidieni juu ya jambo hili huenda mkapoza nyoyo zenu kidogo.

Huyu Manara ni kisu mlichokitengeneza wenyewe Leo kinawakata.
Hivi alivyo Manara ndivyo alivyo tokea zamani enzi hizo anakabiliana na Jerry Muro mheshimiwa Sasa hivi.
Jerry Muro alikuwa msemaji wa mpira pekee ambaye alikuwa na uwezo wa kukabiliana na Manara ipasavyo.
Kipindi hicho alikuwa anaisemea Simba wengi wenu alikuwa kama shujaa wenu,hasa kipindi ambacho Manji amejitolea kuteketeza pesa zake Kwa ajili ya yanga. Nadhani wanasimba kumbukumbu mnayo kwasababu makombe mlikuwa mnayasikia tu na kuyaona Kwa wenzenu.

Manara huyu ndo alikuwa anachukiwa zaidi na wanayanga Kwa maneno yake ya shombo,jeuri na kebehi kupitiliza, wanasimba mlikuwa mnafurahi tu hasa yale majina ambayo alikuwa anawaita Yanga,kama vile utopolo,kwasukwasu,vyura au kidimbwi n.k

Leo hii kutokana na yaliyotokea baina ya Manara na waajiri wake wa zamani ikapelekea yaliyopelekea,mara Manara ndio msemaji wa Yanga, nadhani ni mwajiriwa na hii ni sehemu ya ajira mambo ya mapenzi tuyaweke kando. Kwasababu inawezekana ikawa Manara ana mapenzi ya dhati be Kwa Simba lakini pale Yanga ni kibaruani kwake.
Anachokifanya Manara Leo hii ni kile kile alichokifanya akiwa Simba na akapendwa na wanasimba wengi.
Kama ilivyokuwa Kwa wanasimba na wanayanga hivyo hivyo wanampenda Manara hasa in kutokana na mashambulizi yake Kwa wanasimba.

Ninachowakumbusha wanasimba ni kuwa wavumilivu,KISU HIKI WAMEKITENGENEZA WENYEWE.
Anakutesa wew
 
Nadhani kuna shida kubwa kwa wanayanga. Hakuna shabiki yoyote wa simba anahangaika na manara. Alifukuzwa simba na kasahaulika kwa sababu kuu mbili. Moja simba haihitaji tena ngonjera za kutambiana/kukashifiana wala kumkejeli mwingine huko wameshatoka. Pili, huyo Manara keshaprove failure huko aliko sasa. na kukutaarifu tu Manara its a time bomb.


Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Majeneza fc labda nikusaidieni juu ya jambo hili huenda mkapoza nyoyo zenu kidogo.

Huyu Manara ni kisu mlichokitengeneza wenyewe Leo kinawakata.
Hivi alivyo Manara ndivyo alivyo tokea zamani enzi hizo anakabiliana na Jerry Muro mheshimiwa Sasa hivi.
Jerry Muro alikuwa msemaji wa mpira pekee ambaye alikuwa na uwezo wa kukabiliana na Manara ipasavyo.
Kipindi hicho alikuwa anaisemea Simba wengi wenu alikuwa kama shujaa wenu,hasa kipindi ambacho Manji amejitolea kuteketeza pesa zake Kwa ajili ya yanga. Nadhani wanasimba kumbukumbu mnayo kwasababu makombe mlikuwa mnayasikia tu na kuyaona Kwa wenzenu.

Manara huyu ndo alikuwa anachukiwa zaidi na wanayanga Kwa maneno yake ya shombo,jeuri na kebehi kupitiliza, wanasimba mlikuwa mnafurahi tu hasa yale majina ambayo alikuwa anawaita Yanga,kama vile utopolo,kwasukwasu,vyura au kidimbwi n.k

Leo hii kutokana na yaliyotokea baina ya Manara na waajiri wake wa zamani ikapelekea yaliyopelekea,mara Manara ndio msemaji wa Yanga, nadhani ni mwajiriwa na hii ni sehemu ya ajira mambo ya mapenzi tuyaweke kando. Kwasababu inawezekana ikawa Manara ana mapenzi ya dhati be Kwa Simba lakini pale Yanga ni kibaruani kwake.
Anachokifanya Manara Leo hii ni kile kile alichokifanya akiwa Simba na akapendwa na wanasimba wengi.
Kama ilivyokuwa Kwa wanasimba na wanayanga hivyo hivyo wanampenda Manara hasa in kutokana na mashambulizi yake Kwa wanasimba.

Ninachowakumbusha wanasimba ni kuwa wavumilivu,KISU HIKI WAMEKITENGENEZA WENYEWE.
Believe me... Hakuna mwana simba anae umia na maneno ya manara... Kinywgo ulichotengeneza hakiwez kukutisha..

Ni nyie wana yanga... Mnajishtukia tu

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Nadhani kuna shida kubwa kwa wanayanga. Hakuna shabiki yoyote wa simba anahangaika na manara. Alifukuzwa simba na kasahaulika kwa sababu kuu mbili. Moja simba haihitaji tena ngonjera za kutambiana/kukashifiana wala kumkejeli mwingine huko wameshatoka. Pili, huyo Manara keshaprove failure huko aliko sasa. na kukutaarifu tu Manara its a time bomb.


Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
Kwanini Ahmed Ally post zake kwenye mitandao ya kijamii au kauli zake kwenye vyombo vya habari ni kutupia vijembe Kwa Yanga au Manara kama kweli zimba imetoka huko kwenye ngonjera?
 
Believe me... Hakuna mwana simba anae umia na maneno ya manara... Kinywgo ulichotengeneza hakiwez kukutisha..

Ni nyie wana yanga... Mnajishtukia tu

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Kwani wewe ukiandika hivi ndo itasaidia moyo wako kuanza kumpenda Manara?
 
Kwanini Ahmed Ally post zake kwenye mitandao ya kijamii au kauli zake kwenye vyombo vya habari ni kutupia vijembe Kwa Yanga au Manara kama kweli zimba imetoka huko kwenye ngonjera?
Maneno ya ahmed na haji yako sawa? Kuna ule utani wa kawaida wa kuchombeza sio maneno ya kihuni ya manara. nikuambie tu simba wangeumia sana kama manara angetulia akawa msemaji mwenye uweledi na kutoa kauli za kujenga taasisi, kuhamasisha mashabiki hasa kiuchumi nk sio umbea wa kizaramo alionao tena sasa ndio kama kakatwa kichwa amewehuka sana. huko yanga tu wanamlia timing analiwa kichwa muda si mrefu. wanayanga kindakindaki wameshaangza kulipigia kelele na limeshafika kwenye uongozi. kama hujui chukua hilo

Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Manara huyu huyu alilia machozi kwa ajili Babra ? Alisema ooh Babra utaondoka utaniacha akadhani Wanasimba watamwunga mkono. Sasa hivi kakutana na mazombi aliokuwa anawatukana kawashika akili
 
Nichukue hilo wewe kama nani? Manara alikuwa anaisemea Simba kabla ya mambo ya hisa Wala udhamini wa maana. Alifanya kazi bila mkataba. Manara aliipigania Simba kipindi Cha ukata halafu chizi mmoja anakuja kuongea vitu vya ajabu
 
Manara huyu huyu alilia machozi kwa ajili Babra ? Alisema ooh Babra utaondoka utaniacha akadhani Wanasimba watamwunga mkono. Sasa hivi kakutana na mazombi aliokuwa anawatukana kawashika akili
Manara amewashika akili Yanga lakini wewe ndo unateseka 😃😃😃 Kwa mapenzi gani?
 
Kwanini Ahmed Ally post zake kwenye mitandao ya kijamii au kauli zake kwenye vyombo vya habari ni kutupia vijembe Kwa Yanga au Manara kama kweli zimba imetoka huko kwenye ngonjera?
Sasa maneno ya Ahmed ally ndo mashabiki wa simba??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uko serious?? Wao wanapambana personally.

Mashabiki wa Simba hatuhusiki kabisaa.
 
Back
Top Bottom