Wanaomchukia Manara wanaumia zaidi kuliko Manara mwenyewe anavyoumia kuchukiwa na wengi

Ametumwa na zimba
Sasa maneno ya Ahmed ally ndo mashabiki wa simba??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uko serious?? Wao wanapambana personally.

Mashabiki wa Simba hatuhusiki kabisaa.
 
Nyie endeleeni kumlea matokeo yake mtayaona kipindi alipokuwa simba sio kila kitu simba walikuwa wanakubaliana naye aliposema mashabiki wa utopolo msije uwanjani simba walimkataa ila yanga mnalea ujinga wake.
 
Ushawahi kuskia kiongozi yoyote wa simba anamzungumzia haji ?
 
Wewe ni takataka hujui mpira wa Tanzania ukimaliza kunya usitawaze vaa boxer yako inayonuka kinyesi you know nothing about football
 
Kwahiyo hiyo takataka yenu Ahmed Aly anapost vitu vyenye ueledi?
 
Nyie endeleeni kumlea matokeo yake mtayaona kipindi alipokuwa simba sio kila kitu simba walikuwa wanakubaliana naye aliposema mashabiki wa utopolo msije uwanjani simba walimkataa ila yanga mnalea ujinga wake.
Tunaendeleza malezi yenu,nyie ndo mmemfanya Manara awe vile.
 
Ushawahi kuskia kiongozi yoyote wa simba anamzungumzia haji ?
Kwani Kuna kiongozi wa Yanga umemsikia anamzungumzia Ahmed? Ndivyo ilivyo hata hapo kabla viongozi wa Yanga walikuwa hawamzungumzii Haji.
 
Isaya 5:20
Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!
 
Isaya 5:20
Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!
Sawa mfalisayo
 
huyu aliyekanwa na klabu alipopiga marufuku wana yanga kuingia mechi za simba za kimataifa? huyo aliyefyukuzwa? embu hangaikeni na hilo zigo lenu la mavi na mlifundishe kupiga mswaki
 
huyu aliyekanwa na klabu alipopiga marufuku wana yanga kuingia mechi za simba za kimataifa? huyo aliyefyukuzwa? embu hangaikeni na hilo zigo lenu la mavi na mlifundishe kupiga mswaki
View attachment 2319808
Manara amefaulu vizuri mafundisho aliyoyapata akiwa kwenu. Hapo walimkanusha kwasababu ya kimaslahi,kwani washabiki wa Yanga walikuwa wanaingia bure viwanjani?
Mbona Manara alikuwa anaichafua brand ya Yanga mara nyingi na viongozi wa Simba walikuwa wanakaa kimya?
 
Nadhani itakuwa mnaelewa kwanini uongozi wa Yanga ulikubali kufanya maamuzi magumu ya kumuajiri Manara pale Yanga.
 
Nadhani itakuwa mnaelewa kwanini uongozi wa Yanga ulikubali kufanya maamuzi magumu ya kumuajiri Manara pale Yanga.
Hasa Kwa kazi yake kubwa anayoifanya kwenye mitandao ya kijamii katika kuihami brand ya Yanga na Viongozi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…