Wanaomkandia Hayati Magufuli ni watukufu au waovu? Ni mafisadi au wema? Ni wazembe au wavivu?

Hapana nakataa kabsaa wachilia mbali Madhaifu ya JPM,ila jamaa alitaka kuibadilisha Tanzania sema kwa sababu hii Africa kuna watu wanataka wengine wapate na wengine wakose ndo kinachotuumiza sana.Hakukuwai na hakutowai kuwa na Rais kama JPM.
Mfike mahali muujue na kuukubali ukweli. Ipo wazi tu mengi ambayo watu wanalalamika kuhusu magufuli. Mfano tu wa mtu kama Sabaya liyepora watu mabilioni na kuwaumiza kwa vipigo na vifungo visivyo halali, mtu huyu alionekana safi kabisa kwa magufuli licha ya ukatili wake. Huyu ndiye Magufuli unayemshabikia ambaye uongozi wake umeacha madonda makubwa kama kwa Lissu na hata vifo kama vya akina Saanane na Azavor Mgwanda.
 
Sabaya bado yupo ndani najua Gereza la karanga pale Moshi,kama kweli alifanya huo wizi na kuchukua hela za watu shida ni yake na family waliemlea hivyo haiusiani Na JPM,ila kesi za Sabaya nyingi za kubambikizwa ndo mana jamaa any time atatoka,Na serikali ingeshamtoa ila inaogopa kukosa support kwa Chadema na lengo ni kuweza kupart hela za wafadhili.
Samia wenu yeye ni mikopo Samia ni wafadhili sjawai sikia hotuba yake yoyote anaongelea namna ya kufanya uzalishaji,kukusanya kodi kihalali,Hotuba zake ni "Tumezunguka tumepata wafadhili wamesema watatukopesha",Anajificha kwenye kivuli cha Democrasia ili akopeshweee. SABAYA ANAPATA SHIDA HUKO GEREZANI ILA ATATOKA.
 
Hao wote uliowataja na taasisi zao ni walipa kodi!! Na kodi zao ndizo zilitumika kujenga Nchi!! Wala hakuna pesa ilitumika binafsi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…