Mwinginw huyu...lolMwacheni TZ sweetheart.
Mange amesema tuandamane mpaka Central Police kumtetea roli model wetu.
Wamemwonea mrembo wetu mwenye Nyota yake ya jaha.
Makonda hamuwezi kipenzi chetuuu tunayempenda kuliko mioyo yetuuuu
Kwanza Wema kamtaja Masogange...kasaidia polisii
Acha tupungukiwe akili tu haina mbayaWatanzania Hao hao waliokuwa Wanawapost Kina Chid Benz...RayC..eti Jamii iwasaidie na Madawa Ya Kulevya Leo hao hao Wanamsupport Suspect wa Madawa ya Kulevya aliyetajwa na Makonda.... Watanzania kwa Unafiki Tunaongoza...
Wanaona Anaonewa Sana utadhani wanajua Hali za Mahabusu na Wafungwa Zipoje...
Acheni Dunia Imfundishe ....Si kisa Nyie ni Mashabiki zake Ndo mtete Watu acheni vyombo vya Usalama vifanye Kazi zake...
Una uhakika ndo hao hao?Watanzania Hao hao waliokuwa Wanawapost Kina Chid Benz...RayC..eti Jamii iwasaidie na Madawa Ya Kulevya Leo hao hao Wanamsupport Suspect wa Madawa ya Kulevya aliyetajwa na Makonda.... Watanzania kwa Unafiki Tunaongoza...
Wanaona Anaonewa Sana utadhani wanajua Hali za Mahabusu na Wafungwa Zipoje...
Acheni Dunia Imfundishe ....Si kisa Nyie ni Mashabiki zake Ndo mtete Watu acheni vyombo vya Usalama vifanye Kazi zake...
Usihukumu usije ukahukumiwa, lamsingi tusubiri uchunguzi. Tatizo watu wengi hufikiri kwa kiwango cha chini sana, hivi tukiachia mbali hoja ya hao wasanii, hivi wauza unga hawajulikani? Mateja wanapata wapi hizo dawa za kulevya?
OVAWatanzania Hao hao waliokuwa Wanawapost Kina Chid Benz...RayC..eti Jamii iwasaidie na Madawa Ya Kulevya Leo hao hao Wanamsupport Suspect wa Madawa ya Kulevya aliyetajwa na Makonda.... Watanzania kwa Unafiki Tunaongoza...
Wanaona Anaonewa Sana utadhani wanajua Hali za Mahabusu na Wafungwa Zipoje...
Acheni Dunia Imfundishe ....Si kisa Nyie ni Mashabiki zake Ndo mtete Watu acheni vyombo vya Usalama vifanye Kazi zake...
Na wewe uache vyombo vya usalama vifanye kazi yake.Mtu atabaki kuwa mtuhumiwa mpaka mahakama itakavyoamua vinginevyo.Hata mimi naunga mkono vita juu ya dawa za kulevya.Watanzania Hao hao waliokuwa Wanawapost Kina Chid Benz...RayC..eti Jamii iwasaidie na Madawa Ya Kulevya Leo hao hao Wanamsupport Suspect wa Madawa ya Kulevya aliyetajwa na Makonda.... Watanzania kwa Unafiki Tunaongoza...
Wanaona Anaonewa Sana utadhani wanajua Hali za Mahabusu na Wafungwa Zipoje...
Acheni Dunia Imfundishe ....Si kisa Nyie ni Mashabiki zake Ndo mtete Watu acheni vyombo vya Usalama vifanye Kazi zake...
Acha masihara mkuuNi moja ya watuhumiwa waliokutwa na vielelezo..miongoni mwa 12 waliopelekwa leo mahakamani
Nasubiri kuona majibu yao.Hivi hao mashabiki wa Wema huwa wanashabikia nini haswa kutoka kwake?