Mwanamke una gubu sana wewe. Hutuachi tukatulia.Wana utopolo sasa hvii wanaona gari lao limewaka hakuna malalamiko, oohh!! Kwanini Gamond kafukuzwa , ooh !! Mabeki hatuna.
Malamiko yataanza baada ya Mc Algers kuwatungua 2 mtungi. Mnaokoteza wachezaji halafu mtegemee matokeo chanya club bingwa!?.
Club bingwa ni mwendo wa kushenyetwa, gusa achia twende kwenu. Wa mwisho kutoka chini 😂 pwenti 1 FC.
Kwani Tp Mazembe ameuchukua huo ubingwa mara ngapi?Ukitazama enyimba documentary utaelewa ugumu wa kuwin champions league matches hasa wewe ukiwa ni timu kutoka sub saharan africa
Enyimba mwaka 2004 waliwekeza hela nyingi kuliko timu zote africa. Hata , waarabu wenyewe kina al ahly hawakufikia hela walizowekeza enyimba . Ndio wakaenda win caf champions league bila longo longo
Yanga kuwekeza kwa kina chama na dube. Sio timu ya kusumbua watu african level za champions league
Kwahiyo ile fainali mliyocheza mama yako mzazi alivaa medaliNani kawaruhusu kujadili mambo ya Champions League? Kama timu yako haipo tulia na kombe lenu la kina mama
Kbsaa wachezaji age go watamsumbua nani CCL.Ukitazama enyimba documentary utaelewa ugumu wa kuwin champions league matches hasa wewe ukiwa ni timu kutoka sub saharan africa
Enyimba mwaka 2004 waliwekeza hela nyingi kuliko timu zote africa. Hata , waarabu wenyewe kina al ahly hawakufikia hela walizowekeza enyimba . Ndio wakaenda win caf champions league bila longo longo
Yanga kuwekeza kwa kina chama na dube. Sio timu ya kusumbua watu african level za champions league
Uto wajanja wana makocha wawili saivi,Yule wa KmC ni kocha wa emergency😂😂MC Alger mbona mbali, Mazembe tu inaenda kumfukuzisha kazi Said Kichwa. Uto itacheza mechi na MC Alger ikiwa chini ya Minziro
Jikiteni kwenye kombe lenu la kina mama😅 Mjiandae kisaikolojia na malalamiko yenu baada ya vipigo mfululu vijavyo
Fikeni fainali ndio tuta jadiliKwahiyo ile fainali mliyocheza mama yako mzazi alivaa medali
Duwa la kuku halimpati mwewe.Wana utopolo sasa hvii wanaona gari lao limewaka hakuna malalamiko, oohh!! Kwanini Gamond kafukuzwa , ooh !! Mabeki hatuna.
Malamiko yataanza baada ya Mc Algers kuwatungua 2 mtungi. Mnaokoteza wachezaji halafu mtegemee matokeo chanya club bingwa!?.
Club bingwa ni mwendo wa kushenyetwa, gusa achia twende kwenu. Wa mwisho kutoka chini 😂 pwenti 1 FC.
Kwenye kuwekeza bado si kigezo mfano Chelsea amewekeza sana msimuUkitazama enyimba documentary utaelewa ugumu wa kuwin champions league matches hasa wewe ukiwa ni timu kutoka sub saharan africa
Enyimba mwaka 2004 waliwekeza hela nyingi kuliko timu zote africa. Hata , waarabu wenyewe kina al ahly hawakufikia hela walizowekeza enyimba . Ndio wakaenda win caf champions league bila longo longo
Yanga kuwekeza kwa kina chama na dube. Sio timu ya kusumbua watu african lev .x no vxx free DCel za champions leaguec cc f