Wanaona wamejipata ila baada ya mechi na MC Algers, Side huenda tusiwe nae

Shanily

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2024
Posts
856
Reaction score
1,662
Wana utopolo sasa hvii wanaona gari lao limewaka hakuna malalamiko, oohh!! Kwanini Gamond kafukuzwa , ooh !! Mabeki hatuna.

Malamiko yataanza baada ya Mc Algers kuwatungua 2 mtungi. Mnaokoteza wachezaji halafu mtegemee matokeo chanya club bingwa!?.

Club bingwa ni mwendo wa kushenyetwa, gusa achia twende kwenu. Wa mwisho kutoka chini 😂 pwenti 1 FC.
 
Ukitazama enyimba documentary utaelewa ugumu wa kuwin champions league matches hasa wewe ukiwa ni timu kutoka sub saharan africa

Enyimba mwaka 2004 waliwekeza hela nyingi kuliko timu zote africa. Hata , waarabu wenyewe kina al ahly hawakufikia hela walizowekeza enyimba . Ndio wakaenda win caf champions league bila longo longo

Yanga kuwekeza kwa kina chama na dube. Sio timu ya kusumbua watu african level za champions league
 
Mwanamke una gubu sana wewe. Hutuachi tukatulia.
 
Kwani Tp Mazembe ameuchukua huo ubingwa mara ngapi?
 
Kbsaa wachezaji age go watamsumbua nani CCL.
 
Duwa la kuku halimpati mwewe.
 
Gari Halijawaka Linatembelea Mafuta Ya Kidebe (Mchuzi Juu)
 
Kwenye kuwekeza bado si kigezo mfano Chelsea amewekeza sana msimu
WA kwanza au WA pili wa wamarekani walibeba kombe gani UEFA,Africa Kuna pyramid ya Misrii wamejitahidi Kila namna kuwekeza wako na kombe CAF champions league...
Haya mashindano yanahitaji pia experience timu zetu hazivumilii wachezaji na hazina malengo mapana mfano simba malengo yao ni kufika nusu fainali ila wanavojinasibu wao ni wakimataifa kwa kufika robo huwa nawashangaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…