Wanaona wamejipata ila baada ya mechi na MC Algers, Side huenda tusiwe nae

Wanaona wamejipata ila baada ya mechi na MC Algers, Side huenda tusiwe nae

Kwenye kuwekeza bado si kigezo mfano Chelsea amewekeza sana msimu
WA kwanza au WA pili wa wamarekani walibeba kombe gani UEFA,Africa Kuna pyramid ya Misrii wamejitahidi Kila namna kuwekeza wako na kombe CAF champions league...
Haya mashindano yanahitaji pia experience timu zetu hazivumilii wachezaji na hazina malengo mapana mfano simba malengo yao ni kufika nusu fainali ila wanavojinasibu wao ni wakimataifa kwa kufika robo huwa nawashangaa sana
Hiyo robo fainali wanayojisifu nayo simba mbona kaizer chiefs hafiki na ana hela kuliko simba? Mbona wydad msimu uliopita hakufika na ana hela kuliko simba? Mbona orlando hafiki na ana hela kuliko simba?

Uefa na caf champions league ni vitu viwili tofauti ambavyo hata haviendani coz nature ya mpira wa ulaya ni tofauti na nature ya mpira wa afrika. kwahiyo usifananishe uefa na caf.

Pyramids hajawahi kuwekeza hela kumzidi al ahly,esperance,mamelodi n.k ndio maana hajawahi kusumbua afrika.
 
Hiyo robo fainali wanayojisifu nayo simba mbona kaizer chiefs hafiki na ana hela kuliko simba? Mbona wydad msimu uliopita hakufika na ana hela kuliko simba? Mbona orlando hafiki na ana hela kuliko simba?

Uefa na caf champions league ni vitu viwili tofauti ambavyo hata haviendani coz nature ya mpira wa ulaya ni tofauti na nature ya mpira wa afrika. kwahiyo usifananishe uefa na caf.

Pyramids hajawahi kuwekeza hela kumzidi al ahly,esperance,mamelodi n.k ndio maana hajawahi kusumbua afrika.
Kabsa hawataki kukubali kama Simba ni giant African
 
Ukitazama enyimba documentary utaelewa ugumu wa kuwin champions league matches hasa wewe ukiwa ni timu kutoka sub saharan africa

Enyimba mwaka 2004 waliwekeza hela nyingi kuliko timu zote africa. Hata , waarabu wenyewe kina al ahly hawakufikia hela walizowekeza enyimba . Ndio wakaenda win caf champions league bila longo longo

Yanga kuwekeza kwa kina chama na dube. Sio timu ya kusumbua watu african level za champions league
Na unaweza kuwekeza na kombe usipate...mamelodi hela zote zile kachukua mara moja tu!
 
Hiyo robo fainali wanayojisifu nayo simba mbona kaizer chiefs hafiki na ana hela kuliko simba? Mbona wydad msimu uliopita hakufika na ana hela kuliko simba? Mbona orlando hafiki na ana hela kuliko simba?

Uefa na caf champions league ni vitu viwili tofauti ambavyo hata haviendani coz nature ya mpira wa ulaya ni tofauti na nature ya mpira wa afrika. kwahiyo usifananishe uefa na caf.

Pyramids hajawahi kuwekeza hela kumzidi al ahly,esperance,mamelodi n.k ndio maana hajawahi kusumbua afrika.
Twende pamoja wydad ana makombe ya CAF ,ww Simba una nn?Wydad kafika fainali mara nyingi tu simba Yako Nusu imefika lini?...Wydad walikuwa na mtafaruko kipindi hiko ila watakaa sawa,Simba humfikii wydad hata robo...Simba ndio timu ghali East and Central Africa ila yupo shirikisho hujaona tatizo bado
•Kaizer chief ana hela ndio ashawai fika fainali CAF champions league msimu 2020/21,Simba alikuwa daraja pia ...Je Simba hii mwakarobo lini kafika hata nusu fainali?
•Orlando pirates ana kombe moja la CAF ww Simba nn?...Orlando alifika fainali ya Caf Confederation 2021/22,Alifungwaa na berkane ya Ibenge kwa penalty,hio hio berkane ambayo pia mlicheza nae Simba 🤔

-Pyramid ni timu changa (inayokuwa tuseme)Maana mzigo wa maana wameanza kuweka 2018 baada ya matajiri kuinunua tangu wamepanda ligi 2014 ...Wamefika final 2019/20 CAF confederation,...Hela zipo sema ngoja niishie hapa......Pyramid haijawai kusumbua ila watoto wa 2018 Hawa wanakuzidi hela mpaka WW Simba ila ukijilinganisha nao Si unaona ww unabokuwa Bora koz of experience ..Takwimu hizi hapa chini
 

Attachments

  • Screenshot_20241224-102807.png
    Screenshot_20241224-102807.png
    98.8 KB · Views: 2
Wana utopolo sasa hvii wanaona gari lao limewaka hakuna malalamiko, oohh!! Kwanini Gamond kafukuzwa , ooh !! Mabeki hatuna.

Malamiko yataanza baada ya Mc Algers kuwatungua 2 mtungi. Mnaokoteza wachezaji halafu mtegemee matokeo chanya club bingwa!?.

Club bingwa ni mwendo wa kushenyetwa, gusa achia twende kwenu. Wa mwisho kutoka chini 😂 pwenti 1 FC.
Usiwape pressure Uto kwanza wao ndo wanaongoza kundi kutokea matarcowni
 
Back
Top Bottom