Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuogelea hauna ujuzi, kuna yule mkurugenzi ambaye sasa ni marehemu, yeye kila siku alikuwa anaogelea kutoka Kigamboni mpaka Feri, lakini siku ya siku yalimkuta maji yakamzidi na ukawa mwisho wake.Wala sio uoga! mimi kuogolea najua.
Ila hawa jamaa wamefanya jambo la hatari.
Na Jioni watu waliokuwa wanavuka wengi mno
😁😁 Kumbe tulikua kwenye pantoni pamoja! Ila mbona meli ilipita fresh ingawa kweli leo wamezingua maana hata sea taxi ilichelewa kuondokaTEMESA na Mamlaka zote zinazohusika na Vivuko, Wanatakiwa kuwachukulia hatua kali sana, Waliokuwa wanaongoza MV Kazi leo 22-08-2024 Saa 12:50jioni. Kutoka Upande wa Dar (Magogoni) Kuelekea Kigamboni.
Wamehatarisha sana maisha ya watu.
Kivuko kimetoka Wakati kuna meli iliyokuwa inatoka bandarini.
Awali walisubiri lakini meli ilivyofika karibu na wao wakatoa Kivuko.
Hii ni hatari sana kwasababu Meli na Kivuko vilipishana kidogo sana!
Huku ni kukosa umakini na kuhatarisha maisha ya watu kwa kukusudia kabisa.
Chunguzeni hili jambo sio lakawaida.
Nimetoa hadi muda lilipotokea.
Nimetanguliza hii habari hapa ila kesho nitawasaka pia hao wahusika.
Waache masihara kabisa na maisha ya watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutoka dar kwenda kigamboni [emoji16][emoji16]
Nilikuwepo kwa juu, meli ilikua unatoka bandarini haikua na mzigo ni kweli aliondoka meli wakati inakuja ila hakuisogelea kiviile ingawa meli ilikua inatembea polepole sana tena sanaUlikuwepo mkuu?
Ulishaona hata mara moja Meli na Kivuko kusogeleana namna ile?