Wanaoongoza Kivuko cha MV Kazi (Magogoni -Kigamboni) leo 22/08/2024. Wachukuliwe hatua kali

Wala sio uoga! mimi kuogolea najua.
Ila hawa jamaa wamefanya jambo la hatari.
Na Jioni watu waliokuwa wanavuka wengi mno
Kuogelea hauna ujuzi, kuna yule mkurugenzi ambaye sasa ni marehemu, yeye kila siku alikuwa anaogelea kutoka Kigamboni mpaka Feri, lakini siku ya siku yalimkuta maji yakamzidi na ukawa mwisho wake.
 
😁😁 Kumbe tulikua kwenye pantoni pamoja! Ila mbona meli ilipita fresh ingawa kweli leo wamezingua maana hata sea taxi ilichelewa kuondoka
 
😁😁 Kumbe tulikua kwenye pantoni pamoja! Ila mbona meli ilipita fresh ingawa kweli leo wamezingua maana hata sea taxi ilichelewa kuondoka
Mbona alisubiria fresh tu?
Halafu galfa akatoa chombo
 
Kuogelea hauna ujuzi, kuna yule mkurugenzi ambaye sasa ni marehemu, yeye kila siku alikuwa anaogelea kutoka Kigamboni mpaka Feri, lakini siku ya siku yalimkuta maji yakamzidi na ukawa mwisho wake.
Dah! akafia hapo feri?
 
Ulikuwepo mkuu?
Ulishaona hata mara moja Meli na Kivuko kusogeleana namna ile?
Nilikuwepo kwa juu, meli ilikua unatoka bandarini haikua na mzigo ni kweli aliondoka meli wakati inakuja ila hakuisogelea kiviile ingawa meli ilikua inatembea polepole sana tena sana
 
Wakuu tuko kwenye kivuko cha MV kazi tunazungushwa tu kwenye maji
 
MV Kazi Asubuhi hii 17.11.2024
Inatuzungusha majini tu hapa feri.
Tumepanda saa 11:43Asbh. Sasa ni saa 12:03Asbh.
Ni balaa sana, Tunazungushwa tu na hatujui hitilafu
 
Poleni sana ....pale juna waongoza meli na camera .....mamlaka bandari zichukue hatua ukute alilewa zake jana weekend na mazoea mabaya sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…