Wanaopaki magari Hospitali ya Muhimbili kuanza kulipia

Na huu ndio ukomo wa fikra za wasomi wetu.

Yani uwezo wa fikra ni tozo tu kwa kila kitu. Hapo huyo Janaba atajisifu kuwa amekuja na bonge la source ya mapato kwa hospitali.

Ukienda hapo mpaka kumaliza huduma si chini ya masaa 6. Kwahiyo uhofie gharama za matibabu na parking pia?

Kesho Queen Matozo atasimama nae kuunga mkono hili swala kwa madai kila mtu achangie nchi. Yeye na wasaidizi wake wakiumwa wanapanda ndege kwenda ulaya.
 
Yaani utoke mbagala au bunju kufuata hio parking free mjini
 
Kwani ukigoma kulipa hizi fee watakufanya nini, maana hadi uchochoroni . Hizi parking zifaa city center
 
Kwa msongamano ulivyo hapo mhimbili utamaliza kuhudumiwa kwa dakika 20?kila sehemu ya nchi hii ni tozo huku tozo zikiishia kwa mafisadi.Hii nchi inazidi kuharibiwa kila kukicha
 
😳🙄
Hivi kule nyuma ya hosp kwenye lile bonde lao walikokuwa wanafugia mbu mbona panatosha kabisa kujenga parking, kama kweli shida ni kupunguza msongamano wa magari.
 
Ukilinganisha na wapi? Wewe si waenda South. Huduma zitazidi kuwa duni, kama hakutakuwa na uwekezaji kwenye taasisi kama za afya.
 
Ukilinganisha na wapi? Wewe si waenda South. Huduma zitazidi kuwa duni, kama hakutakuwa na uwekezaji kwenye taasisi kama za afya.
Umeelewa ulichokiongea au ndio wale wapiga makofi kwa kuwa wengi wamepiga makofi...
 
Safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…