doomedcity
Member
- Apr 8, 2023
- 65
- 144
Kiukweli daah kunaa watu wana bahati sana hapa duniani
Nimekua nikisaka mitandaoni nipate japo rafiki tu wakishua atleast tukipiga story tuki flirt nijue na flirt na mtu wa next level naamini ilo litanipa amani na kunipunguzia stress za maisha
Ila wapi mpaka leo sijawai ambulia hata mmoja
Tuseme ndo gundu au bahati zetu wengine nyeusi
Achilia mbali ma sugar momies
Sio kijibrand ndo ukweli mtu na u hb na ushombe ulionao huambulii hata rafiki tu
Emu tupeni connection wadau tunapataje hawa watu ili tujifariji na hizi stress za life
Nimekua nikisaka mitandaoni nipate japo rafiki tu wakishua atleast tukipiga story tuki flirt nijue na flirt na mtu wa next level naamini ilo litanipa amani na kunipunguzia stress za maisha
Ila wapi mpaka leo sijawai ambulia hata mmoja
Tuseme ndo gundu au bahati zetu wengine nyeusi
Achilia mbali ma sugar momies
Sio kijibrand ndo ukweli mtu na u hb na ushombe ulionao huambulii hata rafiki tu
Emu tupeni connection wadau tunapataje hawa watu ili tujifariji na hizi stress za life