doomedcity
Member
- Apr 8, 2023
- 65
- 144
Unaingia kwenye mtandao gani au app gani?Kiukweli daah kunaa watu wana bahati sana hapa duniani
Nimekua nikisaka mitandaoni nipate japo rafiki tu wakishua atleast tukipiga story tuki flirt nijue na flirt na mtu wa next level naamini ilo litanipa amani na kunipunguzia stress za maisha
Ila wapi mpaka leo sijawai ambulia hata mmoja
Tuseme ndo gundu au bahati zetu wengine nyeusi
Achilia mbali ma sugar momies
Sio kijibrand ndo ukweli mtu na u hb na ushombe ulionao huambulii hata rafiki tu
Emu tupeni connection wadau tunapataje hawa watu ili tujifariji na hizi stress za life
Online friendship inakujaje bila kusearch Wewe mwenyewe?Hivo vitu ni automatically vinakuja..
Ukivitafuta hutavipata
Hakikisha na ww ni wa kishua. Bang na size yako bossKiukweli daah kunaa watu wana bahati sana hapa duniani
Nimekua nikisaka mitandaoni nipate japo rafiki tu wakishua atleast tukipiga story tuki flirt nijue na flirt na mtu wa next level naamini ilo litanipa amani na kunipunguzia stress za maisha
Ila wapi mpaka leo sijawai ambulia hata mmoja
Tuseme ndo gundu au bahati zetu wengine nyeusi
Achilia mbali ma sugar momies
Sio kijibrand ndo ukweli mtu na u hb na ushombe ulionao huambulii hata rafiki tu
Emu tupeni connection wadau tunapataje hawa watu ili tujifariji na hizi stress za life
Tupe hints Mkuu Mimi napenda hizo mambo za kuwa na circle ya watu ambao wapo well financially hasa mademu wa kizungu na kiafrika ambao ni wapweke pia Mimi Sina hell za kulipia dating siteUnaingia kwenye mtandao gani au app gani?
Hamna shida muhimu tuzipate tupate connectionNjoo huku ununio sasa pisi za kishua zinakugombani ila uwe mtunza bustani au muosha gari la Boss
Wazo jema Sana, na akishaanza kugonga mmoja basi atakuwa katoa nuksi watamwagika wakutoshaKuwa na circle ya watu wenye pesa mara nyingi masikini kuwa na urafiki na tajiri inakuaga Kuna ugumu flanii hivi
Mimi naona mnyonyoro ndo kila kitu pia ukitaka urafiki udumu na watu wenye pesa usipende kuomba pesa omba Connection tu .
There's something work out kufanya Kazi kwa bidii sio jibu la Kupata connection WTFYani vijana wanaacha kutafuta pesa kwa bidii ila wanatafuta wanawake wenye pesa.
Acheni ujinga.
Connections zinakuja automatically.
Sasa jichanganye na matapeli kina Matola uangukie pua
Hajui kutongoza sasa[emoji23]Si unatongoza......
Acha upumbuani wewe
Hamna namna....Hajui kutongoza sasa[emoji23]
labda usome nao na uwe na mazoea nao, ila huwa hawatutaki sisi makapukuKiukweli daah kunaa watu wana bahati sana hapa duniani
Nimekua nikisaka mitandaoni nipate japo rafiki tu wakishua atleast tukipiga story tuki flirt nijue na flirt na mtu wa next level naamini ilo litanipa amani na kunipunguzia stress za maisha
Ila wapi mpaka leo sijawai ambulia hata mmoja
Tuseme ndo gundu au bahati zetu wengine nyeusi
Achilia mbali ma sugar momies
Sio kijibrand ndo ukweli mtu na u hb na ushombe ulionao huambulii hata rafiki tu
Emu tupeni connection wadau tunapataje hawa watu ili tujifariji na hizi stress za life
Lengo la mtoa mada ni kupata mademu wazuri wakishua na sio network!There's something work out kufanya Kazi kwa bidii sio jibu la Kupata connection WTF